Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
- Thread starter
- #221
Superman umenisukuma katika hatua ingine ya kwenda kuuliza ni kwa nini baadhi ya kina mama hawavai chupi wakiwa nje ya nyumba zao. Ni majuzi tu niliwakuta wanawake wawili maeneo ya kazini kwao wanacheka na hasa mmojawao. kwa vile mmoja wao ilikuwa rahisi kumuuliza kulikoni au walikuwa wananicheka. Nikajibiwa hapana lakini yule mwenzie ambaye alikuwa katoka hakuvaa chupi na alikuja pale kumuonyesha rafikie. sikua mdadisi. sasa ngoja nizamie katika utafiti huu. sehemu hii sio ya joto ni ya baridi kabisa!!!
That is interesting . . .
Kamanda hebu fanya udadisi halafu utujuze.