Superman umenisukuma katika hatua ingine ya kwenda kuuliza ni kwa nini baadhi ya kina mama hawavai chupi wakiwa nje ya nyumba zao. Ni majuzi tu niliwakuta wanawake wawili maeneo ya kazini kwao wanacheka na hasa mmojawao. kwa vile mmoja wao ilikuwa rahisi kumuuliza kulikoni au walikuwa wananicheka. Nikajibiwa hapana lakini yule mwenzie ambaye alikuwa katoka hakuvaa chupi na alikuja pale kumuonyesha rafikie. sikua mdadisi. sasa ngoja nizamie katika utafiti huu. sehemu hii sio ya joto ni ya baridi kabisa!!!
nimeuliza wamama kama wanne kabla ya kuchangia hapa na majibu matatu yananfanana kabisa eti usipovaa chupi
makalio yanatingishika mno na yanaongeza akshi, hisia ya kungonoka mno, yaani mapaja yatakuwa yana papasana ukitembea, sasa ukute mwanamke kajaliwa, ananyegeka kweli, hata akiwa nyumbani, na pia kule kutingishika
kunamvutia mwanume, na wenyewe wanajua, so most they do it intentionally, nakwambia mmoja tumeshibana ila sijaonana nae kitambo, akaniambia hata yeye hana na yupo home eti niende kama vile nimemkumbuka, ilibakia kidogo tu niwashe gari, ee bwana
Haya masuala ya chupi jamani ni masuala binafsi ni si vizuri kulizungumzia kwa ujumla wake kama linavyozungumzwa hapa. Hatuwezi kupata jibu kamili, na labda tutahisi tu. Kuna sababu nyingi sana ambazo zinaweza kumfanya kwa siku ile tu, kutovaa hiyo chuzi. Na sababu hizo inaweza kuwa niza kibinafsi zaidi kama za kiuchumi au za kitabibu zaidi.... NAFIKIRI TU-GENERALIZE SANA
mimi jeans zangu huwa sifui kila ninapovua ila wewe naomba uniambie kuwa hurudii jeans zako kabla hujazifua
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida kuna dada moja ambaye hupendelea sana kuvaa suruali na zinamkaa vilivyo. Hata hivyo majuzi alivaa sketi ambayo pia ilimkaa vema. Bahati mbaya wakati naingia ofisini na bila kudhamiria nilimwona amekaa mkao ambao "mambo yote yalikuwa hadharani". Naam, kwa hakika hakuwa amevaa chupi. Nilikausha na kujifanya kama vile sijamwona na yeye nadhani alijishtukia hivyo akakaa vema.
Jambo hili lilinifanya nijiulize maswali mengi na hasa ni kwa nini hakuvaa chupi lakini sikupata jibu na hivyo kuamua kulileta hapa jamvini:
Je, kuna baadhi ya Wanawake hawavai chupi? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida kuna dada moja ambaye hupendelea sana kuvaa suruali na zinamkaa vilivyo. Hata hivyo majuzi alivaa sketi ambayo pia ilimkaa vema. Bahati mbaya wakati naingia ofisini na bila kudhamiria nilimwona amekaa mkao ambao "mambo yote yalikuwa hadharani". Naam, kwa hakika hakuwa amevaa chupi. Nilikausha na kujifanya kama vile sijamwona na yeye nadhani alijishtukia hivyo akakaa vema.
Jambo hili lilinifanya nijiulize maswali mengi na hasa ni kwa nini hakuvaa chupi lakini sikupata jibu na hivyo kuamua kulileta hapa jamvini:
Je, kuna baadhi ya Wanawake hawavai chupi? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
hawapendi kuvaa chupi kwa kuwa wanaogopa mistari ya chupi itaonekana kwenye suruali zao c unajua suruali zenyewe huwa ni laini mno,wengine wanapenda kuvaa skin tighty....
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida kuna dada moja ambaye hupendelea sana kuvaa suruali na zinamkaa vilivyo. Hata hivyo majuzi alivaa sketi ambayo pia ilimkaa vema. Bahati mbaya wakati naingia ofisini na bila kudhamiria nilimwona amekaa mkao ambao "mambo yote yalikuwa hadharani". Naam, kwa hakika hakuwa amevaa chupi. Nilikausha na kujifanya kama vile sijamwona na yeye nadhani alijishtukia hivyo akakaa vema.
Jambo hili lilinifanya nijiulize maswali mengi na hasa ni kwa nini hakuvaa chupi lakini sikupata jibu na hivyo kuamua kulileta hapa jamvini:
Je, kuna baadhi ya Wanawake hawavai chupi? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
Hao ndio wanawake vyuma iron ladies. Faida kubwa ya kufanya hivyo, ni kuishi maisha marefu. Bravo, kina mama msiovaa vyupi.