victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,061
Mimi ni mdau mkubwaa sana wa mziki sana. Huwa napenda kufuatilia kila mwanamziki awe mdogo au awe mkubwa.
Tatizo lina kujaa palee baadhi ya wanamuziki wanapotoa music video utasikia anaenda ku premiere video kwenye vituo vingine vya out na Bongo utadhani Tz hakuna music television. Na kama ukikuta ana premiere video yake Bongo mpaka aombwee sana.
Katika kulifuatilia hili nimegundua most wasanii wa njee sijaona eti msanii ameanzaa ku premiere video yake out side of his country kama wapo ni silimia ndogo sana akasahau mashabiki zake waliomfikisha pale (Tunajua si WaTz wengi hua tunatazama free Tv station kwenye ving'amuzi vyetu hatumudu kununua vifurushi vya hivyo ambavyo international music tv zinapatikana)
Huyo mwanamziki haoni kuwa ana mnyima haki yule shabiki wake wa hali ya chini haki ya kuwa wa kwanza kuitazama video yake?
So katikaa hayo, nikajiuliza maswali matatu ambayo nimekosa majibu;
1) Hivi Mwanamziki ukitaka kufikia level za International lazima u premiere video nje?
2) Hapa Tanzania hakuna TV Station ambazo zinafikia level za kimataifa na wenzetu wakaona umuhimu wa ku-premiere video zao kwenye TV za Tanzania?
3) Au potelea mbali Media za Bongo a.k.a Tz mizinguo tu na ubabaishaji mwingii???
Nawasilishaa #mtazamowangutu
Tatizo lina kujaa palee baadhi ya wanamuziki wanapotoa music video utasikia anaenda ku premiere video kwenye vituo vingine vya out na Bongo utadhani Tz hakuna music television. Na kama ukikuta ana premiere video yake Bongo mpaka aombwee sana.
Katika kulifuatilia hili nimegundua most wasanii wa njee sijaona eti msanii ameanzaa ku premiere video yake out side of his country kama wapo ni silimia ndogo sana akasahau mashabiki zake waliomfikisha pale (Tunajua si WaTz wengi hua tunatazama free Tv station kwenye ving'amuzi vyetu hatumudu kununua vifurushi vya hivyo ambavyo international music tv zinapatikana)
Huyo mwanamziki haoni kuwa ana mnyima haki yule shabiki wake wa hali ya chini haki ya kuwa wa kwanza kuitazama video yake?
So katikaa hayo, nikajiuliza maswali matatu ambayo nimekosa majibu;
1) Hivi Mwanamziki ukitaka kufikia level za International lazima u premiere video nje?
2) Hapa Tanzania hakuna TV Station ambazo zinafikia level za kimataifa na wenzetu wakaona umuhimu wa ku-premiere video zao kwenye TV za Tanzania?
3) Au potelea mbali Media za Bongo a.k.a Tz mizinguo tu na ubabaishaji mwingii???
Nawasilishaa #mtazamowangutu