the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Lakini cha ajabu wengine wana elimu kabisa, ama ndiyo kusema haijawakomboa?Jamii yetu bado ipo duni mno kielimu.
Wana elimu ila hawajaelimika kwani ukiwa shule haujaona waliokua wanaitwa vipanga wakikariri kama kasuku🤔🤔Lakini cha ajabu wengine wana elimu kabisa, ama ndiyo kusema haijawakomboa?
Hahah umenikumbusha history, primitive communalismUjima unatutesa
😂Wazee wa kusomea kwa ajili ya mtihani tu, ili kiukweli ni jambo linalokera sanaWana elimu ila hawajaelimika kwani ukiwa shule haujaona waliokua wanaitwa vipanga wakikariri kama kasuku🤔🤔
Tunasomaga siku Moja kabla ya pepa, thereafter imeisha hiyo😂Wazee wa kusomea kwa ajili ya mtihani tu, ili kiukweli ni jambo linalokera sana
Daah mfalme na wewe unarudi kulekule? Kwani mwanamke hana haki ya kuoneshwa upendo? Mbona dada zetu wakiolewa wanataka kuoneshwa upendo na wanaume zao? Kwanini wakina kwetu ndiyo wanaona limbwata?ushapewa limbwata mkuu, man down.!!
Ukirudi kijijini maarifa yote unaweka kando, hata hutumii kuielimisha jamii. So sad aseeTunasomaga siku Moja kabla ya pepa, thereafter imeisha hiyo
Ina sura nyingi....sanaa natamani ujue mwanamke anarubuniwa dak 3 akiwa ma shost .....watakufanya watakalooWajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Muulize kama anapenda kuona dada yake akinyanyasika kwa kukosa upendo kwa mumewe? Kama sivyo, basi they deserve to be loved. May be ashindwe kutofautisha kati ya kuonyesha upendo na ku-tolerate baadhi ya mambo ya wanawake, I mean kuwa na mipakaDaah mfalme na wewe unarudi kulekule? Kwani mwanamke hana haki ya kuoneshwa upendo? Mbona dada zetu wakiolewa wanataka kuoneshwa upendo na wanaume zao? Kwanini wakina kwetu ndiyo wanaona limbwata?
Jamii yenyewe ndio hili ukijaribu kuelekeza jambo unaonekana mjuaji..Ukirudi kijijini maarifa yote unaweka kando, hata hutumii kuielimisha jamii. So sad asee
Sasa mkuu kurubumiwa kuna uhusiano gani na kutompenda?Ina sura nyingi....sanaa natamani ujue mwanamke anarubuniwa dak 3 akiwa ma shost .....watakufanya watakaloo
....kosa kubwa sana akiwa kundi huko vikobas ni shidaaaa
Inaonekana umeshalishwa na limekolea, huu uzi ni mawazo yako au ni maelekezo kutoka kwa shemeji?Wajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Naimani hatofurahishwa kuona hilo likitendeka,Muulize kama anapenda kuona dada yake akinyanyasika kwa kukosa upendo kwa mumewe? Kama sivyo, basi they deserve to be loved. May be ashindwe kutofautisha kati ya kuonyesha upendo na ku-tolerate baadhi ya mambo ya wanawake, I mean kuwa na mipaka
Nimeenda mbeĺe zaidiii usiweke moyo wajo wote utakufaaa.....80% stroke ni mapenzi au business kazi kwakoooSasa mkuu kurubumiwa kuna uhusiano gani na kutompenda?