the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
- Thread starter
- #21
😂Acha basi mkuu, kwamba ni muandiko wa shemeji?Inaonekana umeshalishwa na limekolea, huu uzi ni mawazo yako au ni maelekezo kutoka kwa shemeji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Acha basi mkuu, kwamba ni muandiko wa shemeji?Inaonekana umeshalishwa na limekolea, huu uzi ni mawazo yako au ni maelekezo kutoka kwa shemeji?
Jamii yetu haiko serious.Wajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Okay so, unamaanisha wanastahili upendo ila umakini uwepo?Nimeenda mbeĺe zaidiii usiweke moyo wajo wote utakufaaa.....80% stroke ni mapenzi au business kazi kwakooo
Kumshirikisha tu kwenye baadhi ya maamuzi mkuu, au nimekosea?Kwani umemfanyia nini shemeji mpaka watu wanasema hivyo Kaka ?
Tuambie ili tujue ni limbwata kweli au waongo hao watu
Huo ni pai mkuu. Yaani unafiki ni jadi yetu. Siku tu unatoa manii ili kumpa mwanamke ujauzito, manii yanaenda na kaunafiki. Kwahiyo kadri mtu anagrow up nako kanakuaNaimani hatofurahishwa kuona hilo likitendeka,
Kuna namna unafki pia unatutesa
300% usiweke moyo wako kwao never ...Okay so, unamaanisha wanastahili upendo ila umakini uwepo?
Nmekuelewa sana mkuu, umeiweka kitaalamJamii yetu haiko serious.
Mtu anaweza kukuambia wewe umelishwa limbwata, ukamuuliza kwa nini anasema hivyo, akasema anakutania tu.
Ila hayo mawili uliyoyasema, kuamini ulizi na mfumodume si ajabu yote kuenda pamoja. There is no mutual exclusivity hapo.
Kukosa elimu kunaendana sana na imani za uchawi na mfumodume.
Kiini cha matatizo ni ujinga.
😂Mkuu daah, unamaanisha unafki kwenye DNA kabisa?Huo ni pai mkuu. Yaani unafiki ni jadi yetu. Siku tu unatoa manii ili kumpa mwanamke ujauzito, manii yanaenda na kaunafiki. Kwahiyo kadri mtu anagrow up nako kanakua
Hapana haujokosea Kaka ,kweli hapo watu waliokuzunguka ni wajinga na wanaishi ukale .Kumshirikisha tu kwenye baadhi ya maamuzi mkuu, au nimekosea?
Kwahiyo tunakubaliana kwamba wanastahili upendo bila kuwekwa excuses za limbwata?300% usiweke moyo wako kwao never ...
.ever
Swali Gani😆😆😂Mkuu daah, unamaanisha unafki kwenye DNA kabisa?
hakuna sababu hata moja ya kubababika na mitazamo ya wengine dhidi ya kumpenda mkeo na familia yako kwa ujumla..Wajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Unafki unatucost kwenye vingi sanaSwali Gani😆😆
"Mapenzi Hayaonyeshwi,,Bali Mapenzi Yanafanywa
Duuh"Mapenzi Hayaonyeshwi,,Bali Mapenzi Yanafanywa"
Endelea Kuyaonyesha Mapenzi Uone Yatakavyo Kuadhibu na kukupa Tabu kisawasawa,,Ikukae Akilini Siku Zote Kwa Yule Umpendae Jithidini Mfanye Zaidi Mapenzi Kuliko Kuyaonyesha,,Na Ufanyaji Wa Mapenzi Siku Zote Huwaga ni Siri Ya Waliopendana Kwa Wakati Huo,,Kwenye Kuyaonesha Huwaga Kuna Kudharaulika,,Kudhalilika,,Mighafilisho,,Fedhea,,Aibu n.k,,,Lakini Ukiyafanya Kwa Wingi na Uhakika Kuna Kupendwa,,,Kuheshimika,,Kuthaminika,,Kuaminika,,Kuhitajika n.k.###AkiliKumkichwa###Duuh
Shemeji anweza kukupa maelekezo ultimatum na ukatii kwa nidhamu na heshima ila ukauwasilisha ujumbe kwa muandiko wako pasina kupoteza ujumbe uliolekezwa uuwasilishe jukwaani.😂Acha basi mkuu, kwamba ni muandiko wa shemeji?
na bettingNimeenda mbeĺe zaidiii usiweke moyo wajo wote utakufaaa.....80% stroke ni mapenzi au business kazi kwakooo
comment bora kabisaEndelea Kuyaonyesha Mapenzi Uone Yatakavyo Kuadhibu na kukupa Tabu kisawasawa,,Ikukae Akilini Siku Zote Kwa Yule Umpendae Jithidini Mfanye Zaidi Mapenzi Kuliko Kuyaonyesha,,Na Ufanyaji Wa Mapenzi Siku Zote Huwaga ni Siri Ya Waliopendana Kwa Wakati Huo,,Kwenye Kuyaonesha Huwaga Kuna Kudharaulika,,Kudhalilika,,Mighafilisho,,Fedhea,,Aibu n.k,,,Lakini Ukiyafanya Kwa Wingi na Uhakika Kuna Kupendwa,,,Kuheshimika,,Kuthaminika,,Kuaminika,,Kuhitajika n.k.###AkiliKumkichwa###
Kwa sababu ni limbwataWajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?