Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
✊✊✊Amen Chifucomment bora kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✊✊✊Amen Chifucomment bora kabisa
Akiwa siyo bikira hapaswi kupendwa?✊✊✊Amen Chifu
Sijapokea maelekezo mkuu, ni mawazo yangu hayoShemeji anweza kukupa maelekezo ultimatum na ukatii kwa nidhamu na heshima ila ukauwasilisha ujumbe kwa muandiko wako pasina kupoteza ujumbe uliolekezwa uuwasilishe jukwaani.
Why unamuonyesha meko mapenziWajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
DuuWhy unamuonyesha meko mapenzi
Hii mada iko too general, ungetoa na mifano, ya kuonesha mapenzi!Wajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Kuna tofauti ya kupita shule na shule kupita kichwani.Lakini cha ajabu wengine wana elimu kabisa, ama ndiyo kusema haijawakomboa?
Kwani Kuna Mtu/Watu Anastahili/Wanastahili Kupendwa Na Kuna Mtu/Watu,, Astahili/ Hawastahili Kupendwa??Akiwa siyo bikira hapaswi kupendwa?
Mapenzi gani unayomuonesha mkuu? Kama ni kupiga deki nyumba au kuingia jikoni kukuna nazi kwenye kibao cha mbuzi hapo lazima tuwe na mashakaWajumbe salama?
Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa kiwango kikubwa?
Au unapika wali na maharagwe ya nazi halafu unaanza kukuna nazi...Sasa wewe unafokewa unanywea, unapika wewe, unafua wewe na ni kila siku, kwanini tusione n limbawata?
Yani hapo imebaki tu kuambiwa anyonyeshe ni vile huo uwezo haupo.Au unapika wali na maharagwe ya nazi halafu unaanza kukuna nazi...