Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Kuna zile pikipiki baiskeli hazina na zenyewe hazina plate number
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Holder zipoDesign factors...zilianza kuja Guard za plastic hizi hazina plate number holder hivyo huwezi fit plate number...na kwakua sheria ya kwamba plate number iwepo mbele kwenye pikipiki haipo specifically kwaajili ya pikipiki...no one really cares. Na hamna legal consequences za kutokua nayo hivyo na manufacturers hawajaona haya yakudesign holder tena.
Okay..Holder zipo
Kwani powertiller ni motor vehicle ile ipo kwenye kundi la zana za kilimo sio vyombo vya usafiri na ndio maana Huwezi kuta vikitembea long distance maeneo yake ya matumizi ni mashambani huko.Sio Bajaj, Hata tractor Zina plate number moja tu ila power tiller ndo haina kbs
Post in thread 'Kwanini Bajaj na Pikipiki hazina "number plates" kwa mbele kama magari? I'm just asking out of curiosity' Kwanini Bajaj na Pikipiki hazina "number plates" kwa mbele kama magari? I'm just asking out of curiosityaghalabu swali kinalodhaniwa ni la kipuuzi hutweza wengi; mpaka hapo hajapatikana wa kujibu kiushawishi
Hivi bado zipogo??..Kuna zile pikipiki baiskeli hazina na zenyewe hazina plate number
Zipo kama ukienda Tabora wilaya ya urambo utaziona sanaHivi bado zipogo??..
Ongezea elimu kwenye mvua. Maana zinawekwa kwenye steering kabisa. Au zinakaa kama sahani ?Ipo kisheria Ukisajili pikipiki unapata plate number 1 ukiachana na urahisi wa kuona ukitazama straight ni nyuma kuliko mbele ila hiyo imewekwa kwa sababu mbili
1:kupunguza ukinzani wa upepo(wind resistance)
2:usalama zamani zilikuwa zinatolewa mbili unakuta dereva akipata ajali ndio inakuwa chanzo cha kuongeza majeraha kwa kumkata dereva pia kukiwa na mvua maji yanagonga pale chembechembe zinakurukia usoni
Swali zuri sana mkuu..Ongezea elimu kwenye mvua. Maana zinawekwa kwenye steering kabisa. Au zinakaa kama sahani ?
Haziwekwi kwenye usukani zinawekwa pale chini ya taaOngezea elimu kwenye mvua. Maana zinawekwa kwenye steering kabisa. Au zinakaa kama sahani ?
Sasa uhangaike na chuma ya miguu miwili ya sh. kati ya mi.20 hadi 40? Ya nini? Si bora ununue gari. Tena gari la bei hiyo ni kali kwelikweli.By the way vyuma kama hivi mbona afrika changamoto kuviona hata used?
View attachment 3195363
Maji ya mvua yakipiga yanarukaje kumsubua dereva?Haziwekwi kwenye usukani zinawekwa pale chini ya taa
Utata unaouona ni upi?kukosa namba mbele,au umeiviruga familia yako,au umemtorosha mmoja wa wanafamilia yako?Hivi vyombo vya moto vyenye matairi mawili au matatu vina utata sana
Pikipiki inatembea matone ya mvua yakigongwa na plate number yanacrash na kuwa vitone vidogodogo kwa kusaidiwa na kani ya ukinzani wa upepo(velocity) vinaspray kwenda kwa derevaMaji ya mvua yakipiga yanarukaje kumsubua dereva?
Good..Pikipiki inatembea matone ya mvua yakigongwa na plate number yanacrash na kuwa vitone vidogodogo kwa kusaidiwa na kani ya ukinzani wa upepo(velocity) vinaspray kwenda kwa dereva
Hizo mbona milioni sita tu unapataSasa uhangaike na chuma ya miguu miwili ya sh. kati ya mi.20 hadi 40? Ya nini? Si bora ununue gari. Tena gari la bei hiyo ni kali kwelikweli.
Poa mkuu wangu..