Kwanini Bajaj na Pikipiki hazina "number plates" kwa mbele kama magari? I'm just asking out of curiosity

Kwanini Bajaj na Pikipiki hazina "number plates" kwa mbele kama magari? I'm just asking out of curiosity

Mambo vp wadau wa JF.

Ninaomba kuelimishwa kwa maana elimu haina mwisho.

I'm just asking this out of curiosity (Curiosity once killed the 🐈 cat)

Je, ni takwa la kisheria au ni uamuzi tu wa watu wachache kwa maana Magari, Bajaj na Pikipiki vyote ni vyombo vya moto..

~ SIPENDI SIASA ~
Swali zuri sana hili,
Serikali imeshindwa kujiongeza ikawataka wamiliki waweke namba, ila pikipiki za zamani zilikuwa na namba
 
Mkoa kama Arusha pikipiki nyingi hasa zile za wadudu hata hizo namba za nyuma hawaweki wanatoa, ni vurugu tu
 
Ipo kisheria Ukisajili pikipiki unapata plate number 1 ukiachana na urahisi wa kuona ukitazama straight ni nyuma kuliko mbele ila hiyo imewekwa kwa sababu mbili

1:kupunguza ukinzani wa upepo(wind resistance)

2:usalama zamani zilikuwa zinatolewa mbili unakuta dereva akipata ajali ndio inakuwa chanzo cha kuongeza majeraha kwa kumkata dereva pia kukiwa na mvua maji yanagonga pale chembechembe zinakurukia usoni
Sababu hazina mashiko
  1. Kwani magari hayana hiyo resistance? Vifua vya waendeshaji ambavyo ni vipana kuliko hiyo number plate je?
  2. Ina maana hicho kibati kwenye bajaji ni hatari kuliko kioo, au kwenye pikipiki side mirror je?
 
Ipo kisheria Ukisajili pikipiki unapata plate number 1 ukiachana na urahisi wa kuona ukitazama straight ni nyuma kuliko mbele ila hiyo imewekwa kwa sababu mbili

1:kupunguza ukinzani wa upepo(wind resistance)

2:usalama zamani zilikuwa zinatolewa mbili unakuta dereva akipata ajali ndio inakuwa chanzo cha kuongeza majeraha kwa kumkata dereva pia kukiwa na mvua maji yanagonga pale chembechembe zinakurukia usoni
hizi sababu ulizotoa mbona hazina mashiko..?
 
Sababu hazina mashiko
  1. Kwani magari hayana hiyo resistance? Vifua vya waendeshaji ambavyo ni vipana kuliko hiyo number plate je?
  2. Ina maana hicho kibati kwenye bajaji ni hatari kuliko kioo, au kwenye pikipiki side mirror je?
#huyo jamaa sababu alizotoa hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi zitoa
 
Hizo mbona milioni sita tu unapata
Nyingi za bei hiyo ni made for African market. Za kule kwa wenyewe huwezi kupata kwa bei hiyo. We fanya kautafiti kidogo tu. Za mtumba tu bei imechangamka. Mfano ni hii chuma ya Mjapani inaitwa Kawasaki Ninja. Imetembea km 7200; bei yake ni sh. 12,000,000/=
 

Attachments

  • Screenshot_20250109-162245_Chrome.jpg
    Screenshot_20250109-162245_Chrome.jpg
    367.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250109-162152_Chrome.jpg
    Screenshot_20250109-162152_Chrome.jpg
    325.2 KB · Views: 2
Mambo vp wadau wa JF.

Ninaomba kuelimishwa kwa maana elimu haina mwisho.

I'm just asking this out of curiosity (Curiosity once killed the 🐈 cat)

Je, ni takwa la kisheria au ni uamuzi tu wa watu wachache kwa maana Magari, Bajaj na Pikipiki vyote ni vyombo vya moto..

~ SIPENDI SIASA ~
Huna macho.
 
Back
Top Bottom