Swali zuri sana hili,Mambo vp wadau wa JF.
Ninaomba kuelimishwa kwa maana elimu haina mwisho.
I'm just asking this out of curiosity (Curiosity once killed the π cat)
Je, ni takwa la kisheria au ni uamuzi tu wa watu wachache kwa maana Magari, Bajaj na Pikipiki vyote ni vyombo vya moto..
~ SIPENDI SIASA ~
Sababu hazina mashikoIpo kisheria Ukisajili pikipiki unapata plate number 1 ukiachana na urahisi wa kuona ukitazama straight ni nyuma kuliko mbele ila hiyo imewekwa kwa sababu mbili
1:kupunguza ukinzani wa upepo(wind resistance)
2:usalama zamani zilikuwa zinatolewa mbili unakuta dereva akipata ajali ndio inakuwa chanzo cha kuongeza majeraha kwa kumkata dereva pia kukiwa na mvua maji yanagonga pale chembechembe zinakurukia usoni
hizi sababu ulizotoa mbona hazina mashiko..?Ipo kisheria Ukisajili pikipiki unapata plate number 1 ukiachana na urahisi wa kuona ukitazama straight ni nyuma kuliko mbele ila hiyo imewekwa kwa sababu mbili
1:kupunguza ukinzani wa upepo(wind resistance)
2:usalama zamani zilikuwa zinatolewa mbili unakuta dereva akipata ajali ndio inakuwa chanzo cha kuongeza majeraha kwa kumkata dereva pia kukiwa na mvua maji yanagonga pale chembechembe zinakurukia usoni
#huyo jamaa sababu alizotoa hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi zitoaSababu hazina mashiko
- Kwani magari hayana hiyo resistance? Vifua vya waendeshaji ambavyo ni vipana kuliko hiyo number plate je?
- Ina maana hicho kibati kwenye bajaji ni hatari kuliko kioo, au kwenye pikipiki side mirror je?
Nimeshangaa#huyo jamaa sababu alizotoa hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi zitoa
Nyingi za bei hiyo ni made for African market. Za kule kwa wenyewe huwezi kupata kwa bei hiyo. We fanya kautafiti kidogo tu. Za mtumba tu bei imechangamka. Mfano ni hii chuma ya Mjapani inaitwa Kawasaki Ninja. Imetembea km 7200; bei yake ni sh. 12,000,000/=Hizo mbona milioni sita tu unapata
All cheap and low-end products belong to Africa. Poor us..Za bei hiyo ni made for African market. Za kule kwa wenyewe huwezi kupata kwa bei hiyo. We fanya kautafiti kidogo tu.
πππUnaongelea passo na vitz?
Kuna zile ziliitwa CD bomba mbili miaka ya 2004 zilikuwa mashine sana dizain kama hizoBy the way vyuma kama hivi mbona afrika changamoto kuviona hata used?
View attachment 3195363
Watu wamehamia kwa DOTTO MAGARI NA IST wao wanaziita zilizo nyooka πKuna zile ziliitwa CD bomba mbili miaka ya 2004 zilikuwa mashine sana dizain kama hizo
Huna macho.Mambo vp wadau wa JF.
Ninaomba kuelimishwa kwa maana elimu haina mwisho.
I'm just asking this out of curiosity (Curiosity once killed the π cat)
Je, ni takwa la kisheria au ni uamuzi tu wa watu wachache kwa maana Magari, Bajaj na Pikipiki vyote ni vyombo vya moto..
~ SIPENDI SIASA ~
Toa zako zenye mashiko ujue hoja hupingwa kwa hoja sio kwa porojo.#huyo jamaa sababu alizotoa hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi zitoa
Yes. Absolutely..Toa zako zenye mashiko ujue hoja hupingwa kwa hoja sio kwa porojo.
Ukiona mtu anaingiza porojo kwenye hoja lazima atakuwa na Shida ya akili