radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Kabla hamjakimbilia kutuambia faida na hasara, chambueni kwanza vipengele vya mkataba na mjibu maswali yanayoulizwa.
Nia ya kumtafuta DPW ilitokana na report ipi ya uchanganuzi wa ufanisi wa bandari?
Tenda iliyozishindanisha kampuni tofauti tofauti kisha ikapatikana DPW ilitangazwa wapi?
Mgao wa Tanzania kwenye huu mkataba utakuwa ni upi? Umeainishwa wapi?
Majukumu ya Tanzania kwenye Huu mkataba ni yapi?
Ukomo wa mkataba ni wa muda gani? Kwa nini?
Kwanini mkataba unahusisha bandari zote za Tanzania?
Nimeitoa sehemu naona Serikali ingejikita kutoa ufafanuzi hapo
Hakuna ambae hataki wawekezaji.
Nia ya kumtafuta DPW ilitokana na report ipi ya uchanganuzi wa ufanisi wa bandari?
Tenda iliyozishindanisha kampuni tofauti tofauti kisha ikapatikana DPW ilitangazwa wapi?
Mgao wa Tanzania kwenye huu mkataba utakuwa ni upi? Umeainishwa wapi?
Majukumu ya Tanzania kwenye Huu mkataba ni yapi?
Ukomo wa mkataba ni wa muda gani? Kwa nini?
Kwanini mkataba unahusisha bandari zote za Tanzania?
Nimeitoa sehemu naona Serikali ingejikita kutoa ufafanuzi hapo
Hakuna ambae hataki wawekezaji.