BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Njia ipi hasa walitumia kuandika biblia mpaka wakaweza kufunua mambo ambayo tunaona yanatokea hivi sasa kama yalivyo tabiriwa kwenye biblia kutokea angali Mungu atakuwa hajahusika kama usemavyo...???Tofauti na upande wa pili wanaoamini kitabu chao kimeandikwa na kushushwa na Mungu
Njia ipi hasa walitumia kuandika biblia mpaka wakaweza kufunua mambo ambayo tunaona yanatokea hivi sasa kama yalivyo tabiriwa kwenye biblia kutokea angali Mungu atakuwa hajahusika kama usemavyo...???
Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Hajaandika lakini muhusika wa kila neno kwenye bible ni yeye,, ni nani angeweza kutabiri haya yanayotokea leo kama siyo ni yeye??Kwani aliyewaumba ndio aliandika hivyo vitabu vyenu
Ndio lakini muhusika wa hayo maandishi yote ni nani??Kama yapi sijaelewa swali lako. Mimi hoja yangu nimesema biblia haijaandikwa na mungu bali imeandikwa na waandishi wengi tofauti tofauti
Ndio lakini muhusika wa hayo maandishi yote ni nani??
Hicho kitabu chenye historia zaidi ya miaka 60 elfu kikowapi nikisome mwenyewe sitaki kuhadithiwa na mtu.America ni mali ya watu weusi kabla ya ujio wa hao red indians na baadae kuibuka kwa Wazungu mixer na waafrika afro Americans , na ujuwe hapa dunian kuna maelfu ya dini na imani, nje ya hizo ngonjera zenu za ukristo na uislam mlizokalili kuwa ndio utakatifu.
Wenzenu huko wana vitabu vyenye historia za zaidi ya miaka 60000, je hiyo biblia yenu ya 7000yrs inaelewa nini matukio nyuma ya hiyo miaka kabla yake?
Someni jamani
Safi kabisa, sasa irudie comment yangu ya mwanzo na unipe jibu sahihi kabisa siyo blah blah.Biblia si kitabu cha mwandishi mmoja bali ni kama maktaba ndogo au mikusanyiko ya vitabu vya waandishi wengi. hivyo hakuna mwandishi mmoja. ni mkusanyiko wa dazeni kadhaa za vitabu au maandishi kutoka kwa watu tofauti
Unajadili mambo yanayokuzid umri na uwezo ,Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.
Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.
Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,
hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.
Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.
Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.
Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.
Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?
Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Columbas kaenda jion kabisa,mfalme wa mali bakar bin mansa ndio alikua wa kwanza kufika huko,bakar ndio alimuachia mansa musa ufalme yeye akatimukia amerca.columbas alikuta mabak ya ngarawa walizotumia na huko waliishi watu weusi kabla ya hao red indiansAmerica imekuja kuonwa na columbus miaka mingi baadae watu walikuepo ila kujua ndo ilikua shida
Hivi mkuu inamaana America haipo Ulimwenguni?Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Hapo imeongelea bara la marekani?Hivi mkuu inamaana America haipo Ulimwenguni?
Soma biblia MK 16:15-18
Ukishasema Ulimwenguni mwote ni kwamba umejumuisha mabara yote na Marekani ni Inclusive. Katika hali ya kawaida isingekuwa jambo jepesi kuorodhesha kila bara au nchi au Taifa.
Kwani zamani izo kufika India ilikuwa ni kazi sana?! Na kwanini India!? Kulikuwa na nini uko..maana ata vasco dagama na yeye alifika bondeni lakini lengo lilikuwa ni india.Dunia ya kwenye biblia ni mashariki ya kati, baadhi ya sehemu za Afrika, Ulaya na Asia. Wanaita the old world.
Kwa kifupi kwa miaka mingi watu wa maeneo hayo hawakujua kama kuna Amerika au Australia. Ndio maana Columbus alipofika Amerika kwa mara ya kwanza alidhani amegundua njia mpya ya kufika India kupitia Atlantic ocean.