Kwanini bara la Amerika halijatajwa mahala Popote Kwenye Biblia?

Kwanini bara la Amerika halijatajwa mahala Popote Kwenye Biblia?

Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Ya rohoni hueleweka rohoni, ya mwilini huishia mwilini. Zaliwa kiroho uelewe ya rohoni.
 
BIBLIA IMEONGELEA TAIFA LA MAREKANI KWA MAFUMBO SANA.
ILA BARA HILO HALIKUWEPO. WAKATI WA PANGEA.
BIBLIA ILITABIRI KUTOKEA KWA HILO TAIFA.

UFUNUO 13.11-13

11 Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
12 Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
13 Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.


MAREKANI ni Adui Mkubwa wa Mungu.
Ndio MATATIZO Yoote yanapotokea Dhambi.
 
MAREKANI NDANI YA BIBLIA:

Taifa la Marekani lilitabiliwa ktk kitabu cha UFUNUO 13
"Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
Mwana-Kondoo, akanena kama joka." UFUNUO 13:11-18.

Chukua ufunguo wa maneno haya ki unabii: .

Ufunuo 13:1 anaanza kwa
kumwelezea mnyama aliyeibuka toka baharini, mnyama (utawala) alikuwa na majimbo 10 ya Ulaya. Yaani huu ni
utawala wa Roman Empire uliokuwa na majimbo kumi 10.

Na utawala huo wa mnyama wa kwanza (Ile pembe iliyoibuka) wa Ufunuo 13 ulikoma mwaka 1798 ambao
kiongozi wao mkuu wa utawala huo uliong'oa pembe tatu aliuawa akiwa mateka kule Ufaransa.


Mnyama wa pili: MAREKANI.
Katika kipindi hicho cha kuisha utawala wa mnyama wa kwanza mwaka 1798, taifa la Marekani linaibuka kutoka
ktk "nchi". Amerika inaitwa nchi kwa sababu katika historia ya kale kisiwa hicho hakikuwa kikikaliwa na mataifa,
walikuwepo wawindaji wachache (Red Indians) na baadae wakimbizi wa mateso ya kidini kwa watu walioshikilia
misingi ya Biblia walikimbilia huko kujificha kuuawa (UFUNUO 12:6, WAEBRANIA 11:37).
Baadae karne ya 17 wakaanza kuwa taifa. Mwaka 1776 Marekani likawa taifa huru, mwaka 1787 likatengeneza
katiba yake, Bill of Rights 1791, na likatambulika kimataifa mwaka 1798 baada ya mkutano na azimio la Virginia
(General Assembly of Virginia 1798). Hakuna taifa ambalo lilivaa sifa zote zilizotajwa ktk Ufunuo 13:11
isipokuwa ni Marekani tu.
********************************


Marekani atanena kama Joka,maana yake kama ambavyo shetani anaongoza tawala na mtu mmoja mmoja
kumwasi Mungu, hivyo ktk SIKU SI NYINGI ZIJAZO Marekani itawalazimisha watu kuabudu kinyume na hitaji la
Mungu, lkn pia kinyume na katiba yao ambayo imejengwa juu ya itikadi mbili yaani pembe mbili zilizotajwa ktk
Ufunuo 13:11 (Civil and Religious Liberty) au "government without a king" and "Church without a Pope". Kwa hiyo katiba ya Marekani imejengwa juu ya itikadi hizo mbili hadi leo.



Mda si mwingi yatatimia hayo, akiwalazimisha atakuwa anamfanyia "sanamu" yule mnyama
wa kwanza wa Ufunuo 13.

Kwa hivyo tupo kwenye kilele cha utawala wa Marekani hapa duniani. Ndiyo maana mnaona leo Marekani
anapeleka majeshi Korea. Lkn hajaanza leo, ameangusha tawala kadha wa kadha aidha yeye mwenyewe au na
washirika wake. Msitegemee nchi yoyote kuishinda marekani, hata kama itarudi nyuma ktk vita yoyote, badae
itasonga mbele na itashinda tu.


Baada ya marekani utawala utakaofuata ni wa Mwana Kondoo Yesu (UFUNUO 14). Unaweza ukajua tupo karibu
na mwisho wa dunia kiasi gani. Basi ikiwa hivyo ndivyo, tujiandaeni si mbali mlango wa rehema utafungwa mara
tu marekani atakapotangaza amri ya kuabudu jumapili, kundi la tulioufahamu ukweli kisha kushupaza shingo
kuufuata tutafungiwa nje.

Utabaki kwa ambao hawajaufahamu ukweli ambao nao injili itawafikia kwa kasi kubwa
kwa mda mfupi nao watafungiwa rehema kisha Yesu ashuke.
Huenda ni wewe umeufahamu ukweli lkn hutaki kuufuata kwa sababu labda za maslahi, heshima au vinginevyo.
Angalia utafungiwa nje na usiokolewe Yesu akija,...udini wa mtawala kama Trump ni kengele kuelekea kutimia
yaliyotabiriwa, huenda asiwe yeye lkn ni lazima itatimia marekani hasa ukizingatia dalili zote zilishatangulia
kutimia, limebaki hilo tu la Marekani, nalo muda si mbali litatimia na Yesu arudi duniani mara ya pili.


Nakusihi mpendwa, kwa neema ya Bwana wetu Yesu, na kwa ushirika wa Roho Mtakatifu, amka!!!..inua kichwa
chako! Usijekufungiwa mlango wa rehema, na zaidi hujui hata lini mishale ya mauti itakuchoma! Utalala ukiwa
upande gani? Mfuate Yesu leo, na si kumfuata tu, bali mfuate ktk njia sahihi, njia nyembamba ambayo
waiendeayo ni wachache.


Yesu alikwisha tuonya akisema "Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu,
kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia" LUKA 21:28.

Mungu awabariki mnapotafakari ujumbe huu, amina
 
Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.

Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.

Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,

hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.

Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.

Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.

Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.

Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?

Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Huyu King James ni nani?
Bible inayoaminika kuwa ndio chimbo ni hii King James.
Ktk kufuatilia kwangu nilibaini kuwa huyu alikuwa Mfalme wa Uingereza,alikuwa na maono ya uchumi kwa miaka 500+ ya mbele ktk utawala wake.
Huyu James aliitisha kikao cha wachumi waliobobea kutoka kona zote za eneo lake.

Hawa wabobezi wakabaini uwepo wa Muuni mmoja kutoka Yunani (Greek),huyu ni Alexander,ili kumfurahisha asije kuwa kikwazo wakuhusisha bandari maarufu ambayo alikuwa akipakulia mizigo aliyokuwa akiiteka kutoka kwa washindani wake,hii bandari iliitwa Tiro (marekebisho na masahihisho yanapokelewa).
Ikatajwa miji mbalimbali ya Ugiriki km vile Efeso,Thesalonike,Corinto na mingine mingi.
Huyu Alexander alichukuliwa km mshirika.

Baadae mambo hayakwenda sawa kwa7bu Alexander alipeleka kila kitu Greek.
Waingereza hawahawa wakamuibua Julius Gaus Caesar (Italian),huyu mwamba akabaini kuwa eneo la Jerusalem Palestine litawawezesha kuitawala Africa,Mashariki ya kati na kwingineko hasa ukizingatia kuwa walikuwa wakipita Mashariki ya kati kwenda Mashariki ya mbali.
Sasa huyu jamaa akaanzisha Tozo na Kodi na Tozo akaiita ya Mungu (hapa aliwalenga Wayahudi)na kodi akaiita ya Caesar.
Ya Mungu mpe Mungu na ya Caesar mpe Caesar,zote alikuwa anachukua Caesar.

Utamaduni wa Wayahudi ulikuwa kizuizi kwa Caesar hivyo akaamua kuanzisha kundi lingine ili kuua dini ya Kiyahudi. Kundi hili ni Islamic. Caesar alitamani makao makuu ya waliomtuma yawe Jerusalem.
Islamic hawa wakawa imara sana ktk eneo hili kiasi kwamba walimsaliti Caesar na malengo ya kuweka makao makuu ya kundi la Caesar (Ukristo) kuwa Jerusalem ikashindikana na hawa Wapalestina kuuendeleza mpaka.

Kitendo cha haya makundi kusalitiana ndiyo matokeo ya vita huku kundi la Caesar likirudi kwa Wayahudi ili wawantang'anye Wapastina eneo lao na kuweka nguvu kubwa sana ili Jerusalem iwe Uyahudini (tukose wote).
Bible ni mpango kazi wa King James ili kuiinua Uingereza kiuchumi.

Chuki kubwa baina ya watu wa Magharibi na Mashariki ya kati ni vita ya kiuchumi,lkn ili sisi Africans tuwe upande mmoja wapo tukalazimishwa ama kwenda kanisani au msikitini. Kanisani na misikitini twende lkn mwanzo mwingine baada ya kifo haupo. Kanisani na msikitini kuna faraja ikwa huwa unatoa Tozo na kodi,tofauti na hapo Bible na Quran ni mifumo iliyoweka ili kuwanyonya waoga wa maisha, karibuni kanisano kwa Sabato ya leo.
 
MAREKANI NDANI YA BIBLIA:

Taifa la Marekani lilitabiliwa ktk kitabu cha UFUNUO 13
"Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
Mwana-Kondoo, akanena kama joka." UFUNUO 13:11-18.

Chukua ufunguo wa maneno haya ki unabii: .

Ufunuo 13:1 anaanza kwa
kumwelezea mnyama aliyeibuka toka baharini, mnyama (utawala) alikuwa na majimbo 10 ya Ulaya. Yaani huu ni
utawala wa Roman Empire uliokuwa na majimbo kumi 10.

Na utawala huo wa mnyama wa kwanza (Ile pembe iliyoibuka) wa Ufunuo 13 ulikoma mwaka 1798 ambao
kiongozi wao mkuu wa utawala huo uliong'oa pembe tatu aliuawa akiwa mateka kule Ufaransa.


Mnyama wa pili: MAREKANI.
Katika kipindi hicho cha kuisha utawala wa mnyama wa kwanza mwaka 1798, taifa la Marekani linaibuka kutoka
ktk "nchi". Amerika inaitwa nchi kwa sababu katika historia ya kale kisiwa hicho hakikuwa kikikaliwa na mataifa,
walikuwepo wawindaji wachache (Red Indians) na baadae wakimbizi wa mateso ya kidini kwa watu walioshikilia
misingi ya Biblia walikimbilia huko kujificha kuuawa (UFUNUO 12:6, WAEBRANIA 11:37).
Baadae karne ya 17 wakaanza kuwa taifa. Mwaka 1776 Marekani likawa taifa huru, mwaka 1787 likatengeneza
katiba yake, Bill of Rights 1791, na likatambulika kimataifa mwaka 1798 baada ya mkutano na azimio la Virginia
(General Assembly of Virginia 1798). Hakuna taifa ambalo lilivaa sifa zote zilizotajwa ktk Ufunuo 13:11
isipokuwa ni Marekani tu.
********************************


Marekani atanena kama Joka,maana yake kama ambavyo shetani anaongoza tawala na mtu mmoja mmoja
kumwasi Mungu, hivyo ktk SIKU SI NYINGI ZIJAZO Marekani itawalazimisha watu kuabudu kinyume na hitaji la
Mungu, lkn pia kinyume na katiba yao ambayo imejengwa juu ya itikadi mbili yaani pembe mbili zilizotajwa ktk
Ufunuo 13:11 (Civil and Religious Liberty) au "government without a king" and "Church without a Pope". Kwa hiyo katiba ya Marekani imejengwa juu ya itikadi hizo mbili hadi leo.



Mda si mwingi yatatimia hayo, akiwalazimisha atakuwa anamfanyia "sanamu" yule mnyama
wa kwanza wa Ufunuo 13.

Kwa hivyo tupo kwenye kilele cha utawala wa Marekani hapa duniani. Ndiyo maana mnaona leo Marekani
anapeleka majeshi Korea. Lkn hajaanza leo, ameangusha tawala kadha wa kadha aidha yeye mwenyewe au na
washirika wake. Msitegemee nchi yoyote kuishinda marekani, hata kama itarudi nyuma ktk vita yoyote, badae
itasonga mbele na itashinda tu.


Baada ya marekani utawala utakaofuata ni wa Mwana Kondoo Yesu (UFUNUO 14). Unaweza ukajua tupo karibu
na mwisho wa dunia kiasi gani. Basi ikiwa hivyo ndivyo, tujiandaeni si mbali mlango wa rehema utafungwa mara
tu marekani atakapotangaza amri ya kuabudu jumapili, kundi la tulioufahamu ukweli kisha kushupaza shingo
kuufuata tutafungiwa nje.

Utabaki kwa ambao hawajaufahamu ukweli ambao nao injili itawafikia kwa kasi kubwa
kwa mda mfupi nao watafungiwa rehema kisha Yesu ashuke.
Huenda ni wewe umeufahamu ukweli lkn hutaki kuufuata kwa sababu labda za maslahi, heshima au vinginevyo.
Angalia utafungiwa nje na usiokolewe Yesu akija,...udini wa mtawala kama Trump ni kengele kuelekea kutimia
yaliyotabiriwa, huenda asiwe yeye lkn ni lazima itatimia marekani hasa ukizingatia dalili zote zilishatangulia
kutimia, limebaki hilo tu la Marekani, nalo muda si mbali litatimia na Yesu arudi duniani mara ya pili.


Nakusihi mpendwa, kwa neema ya Bwana wetu Yesu, na kwa ushirika wa Roho Mtakatifu, amka!!!..inua kichwa
chako! Usijekufungiwa mlango wa rehema, na zaidi hujui hata lini mishale ya mauti itakuchoma! Utalala ukiwa
upande gani? Mfuate Yesu leo, na si kumfuata tu, bali mfuate ktk njia sahihi, njia nyembamba ambayo
waiendeayo ni wachache.


Yesu alikwisha tuonya akisema "Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu,
kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia" LUKA 21:28.

Mungu awabariki mnapotafakari ujumbe huu, amina
Hivi unapozungumzia nguvu ya marekani , unasema upande wa kidini au serikari?,maana marekani pia kuna watu wa imani na dini tofautitofauti. Ukisema Marekani kwa sasa ndo wapinga kristo nashindwa kuelewa ,ni wamarekani wote na dini zao ndo wanampinga kristo ili hali wamegawanyika ktk imani mbalimbali au serikali yao ndo inampinga kristo?. Alafu nadhan Marekani amekuwa World Super Power baada ya WW1 na kumpiku Britain ambaye alidhoofika kutokana na vita yeye pamoja na nchi zingine za ulaya hasa Germany. Na Marekani mbawa zake zilijitanua zaidi miaka ya 1990s baada ya kusambaratika kwa mpinzani wake USSR. Lakini taifa la China kwa sasa ndo linajitanua ili kushika hatamu na kumdondosha USA. Hau unaosema sijui wanyama wenye mapembe, sijui joka, etc nadhan ni mambo ya kutunga tuuu hakuna ukweli wowote,kuhusu hao wanyama na USA au kristo
 
Uislam, Ukristo na Uyahudi, ni dini/maarifa kuhusu Middle East. Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limited kwa maeneo yao—Religion and People's View on God is a geographical issue. Ndio maana kuna Mungu kwa mujibu wa Wachina, Mungu kwa Mujibu wa Watutsi, Mungu kwa Mujibu wa Wasukuma, Mungu kwa Mujibu wa wahindi, Mungu kwa mujibu wa Wahadzabe.

So, ndio maana hakuna chochote kuhusu America kwa sababu waliaonzisha dini ya Ukristo au wasanifu wa biblia, hawakuwa na ufahamu wowote kuhusu America. Their world view was limited in Middle East.
 
BIBLIA ILITABIRI KUTOKEA KWA HILO TAIFA.

UFUNUO 13.11-13

11 Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
12 Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
13 Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
Hebu nisaidie, Yote hayo unayahusianisha vipi na Marekani?
 
BIBLIA IMEONGELEA TAIFA LA MAREKANI KWA MAFUMBO SANA.
ILA BARA HILO HALIKUWEPO. WAKATI WA PANGEA.
BIBLIA ILITABIRI KUTOKEA KWA HILO TAIFA.

UFUNUO 13.11-13

11 Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
12 Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
13 Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.


MAREKANI ni Adui Mkubwa wa Mungu.
Ndio MATATIZO Yoote yanapotokea Dhambi.


Nani aliandika ufunuo ??
 
Uislam, Ukristo na Uyahudi, ni dini/maarifa kuhusu Middle East. Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limited kwa maeneo yao—Religion and People's View on God is a geographical issue. Ndio maana kuna Mungu kwa mujibu wa Wachina, Mungu kwa Mujibu wa Watutsi, Mungu kwa Mujibu wa Wasukuma, Mungu kwa Mujibu wa wahindi, Mungu kwa mujibu wa Wahadzabe.

So, ndio maana hakuna chochote kuhusu America kwa sababu waliaonzisha dini ya Ukristo au wasanifu wa biblia, hawakuwa na ufahamu wowote kuhusu America. Their world view was limited in Middle East.

Ni maana ya uislamu ?? tuanzie hapa

Hakuna mahali katika biblia imeandikwa uyahudi au ukristo ni dini
 
Ni maana ya uislamu ?? tuanzie hapa

Hakuna mahali katika biblia imeandikwa uyahudi au ukristo ni dini
Nami hakuna mahala nimesema Biblia imesema kuwa Ukristo au Uyahudi ni dini!
 
Ni maana ya uislamu ?? tuanzie hapa

Hakuna mahali katika biblia imeandikwa uyahudi au ukristo ni dini

Uislam, Ukristo na Uyahudi, ni dini/maarifa kuhusu Middle East. Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit

Nani kaandika au ndiyo weekend?
 
Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Bara la Australia limetajwa sehemu gani kwenye biblia? Hebu tuwekee huo mstari hapa
 
Uislam, Ukristo na Uyahudi, ni dini/maarifa kuhusu Middle East. Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit

Nani kaandika au ndiyo weekend?
Sasa hapo wapi nimerefer Biblia kama authority ya kuwa Uyahudi au ukristo ni dini?
 
Sasa hapo wapi nimerefer Biblia kama authority ya kuwa Uyahudi au ukristo ni dini?

Sasa ulipoandika
Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit


Ulikusudia nani?
 
Sasa ulipoandika
Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit


Ulikusudia nani?
Nadhani hujanielewa au unataka kuniwekea maneno.

Mimi nimesema Ukristo, uyahudi na uislam zote ni dini. Sijasema ni kwa mujibu wa biblia kama unavyoniwekea maneno.
 
Nadhani hujanielewa au unataka kuniwekea maneno.

Mimi nimesema Ukristo, uyahudi na uislam zote ni dini. Sijasema ni kwa mujibu wa biblia kama unavyoniwekea maneno.

Sasa ulipoandika
Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit


Ulikusudia nani?
 
Sasa ulipoandika
Walioibua dini hizo, walikuwa na knowledge ambayo iko Limit


Ulikusudia nani?
Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo. Ndio maana hausemi kuhusu America kama alivyouliza.
 
Back
Top Bottom