Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Here we go again! How do you mean "Mbele ya wazungu anaonekana kupwaya" Nani kakwambia Wazungu ndio kila kitu?uko sahihi. alitangaza kuimarisha demokrasia hapohapo akamtia mbowe ndani kwa ugaidi wa usd 260. kwamba mbowe alitaka kumuua kiongozi wa serikali (sabaya) ambapo sabaya huyo huyo anamshughulikia kwa uovu......double standard.
Mbele ya wazungu anaonekana kupwaya. haeleweki anasimamia nini.