Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Here we go again! How do you mean "Mbele ya wazungu anaonekana kupwaya" Nani kakwambia Wazungu ndio kila kitu?uko sahihi. alitangaza kuimarisha demokrasia hapohapo akamtia mbowe ndani kwa ugaidi wa usd 260. kwamba mbowe alitaka kumuua kiongozi wa serikali (sabaya) ambapo sabaya huyo huyo anamshughulikia kwa uovu......double standard.
Mbele ya wazungu anaonekana kupwaya. haeleweki anasimamia nini.
Nilichokiona ni kila mmoja kuwalamba wazungu matako kwa style yake.Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?
Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Kwa akili zako unadhani wazungu au hao wamarekani wanajali kuhusu haki au hiyo mnayoit Demokrasia ?Huyo wa Zambia anataka haki zaidi na amepambana kufikia alipo
Wa kwetu alikuwemo kwenye system kwa hiyo hakuna jipya labda abadilishe zaidi
Hata Magu alijulikana dunia nzima mpaka Brazil hata Bangladesh na kote ingawa alikuwa ni zao la humo ila alikuwa na uchungu na system ilivyo
Akaja na mbinu mpya na watu wakafurahi kweli kweli
Ila alibadilika na furaha ya watu akaifanya ikawa kilio kwa wengi na dunia ikamsusa tena
Hata huyo usitegemee atakuwa hivyo mda wote
Kwa akili zako unadhani wazungu au hao wamarekani wanajali kuhusu haki au hiyo mnayoit Demokrasia ?
Kama kweli wanajali Demokrasia na Haki basi adui yao namba moja Afrika angekuwa Paul Kagame
Unapoongelea Haki, kwa mzungu unahusisha Demokrasia, sasa mpo wabongo mnaoamini eti mzungu anajali haki zenu.Hilo la wazungu limetoka wapi hapo?
Wote tunajua kila nchi inajiendesha kutokana na watu wake walivyo
Usijidanganye eti kuna democracy bali ni mfumo tu wa nchi unavyotaka uwe
Unapoongelea Haki, kwa mzungu unahusisha Demokrasia, sasa mpo wabongo mnaoamini eti mzungu anajali haki zenu.
Kwanini ni makosa.? Huoni nia yangu ni kukusaidia na hakuna kosa lolote.Utakuwa umekosea sana bwashee!
Wewe una shida kwenye ubongo,kwamba yule Rais kuitwa huko ikulu ya Marekani na Bungeni kwako ndio baraka?Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?
Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
"Nilipoachiwa Shule nzima niliogopa sana,nikawa najisemea likitokea la kutokea wanafunzi wote wakatega itakuwaje?"Mbona umekazana na wazungu hivyo
Unanilisha maneno na sikuelewi
Tuyaache hayo ok
Have a nice day
"Nilipoachiwa Shule nzima niliogopa sana,nikawa najisemea likitokea la kutokea wanafunzi wote wakatega itakuwaje?"
Umenielewa lakini kiongozi ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya bwana
Umenielewa lakini kiongozi ?
Upo sahihiHuenda unamuongelea Mpango not sure [emoji848]
Upo sahihi
Usingenielewa halafu likatokea la kutokea sijui ingekuwaje
Unaongea kwa sauti ya MakamuUngekuwa mchawi [emoji23][emoji23] joking
Mataga na return of champions tunaomba majibuJe, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?
Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Yaani hii ndo sababu kuu na sio vinginevyo. Hawa wanaosema eti demokrasia na blahblah zingine ni nyumbu wa Ufipa wasiofuatilia mambo yanavyoendelea. Halafu kuitwa na WB, IMF na mabeberu wengine ni mwanzo wa mikosi mingi sana. Sera zao ni za kukufanya tegemezi maisha yako yote. Zambia itaachana na Mchina na kujikuta mikononi mwa mabeberu ambao ni hatari zaidi.Sababu kubwa hapo ni kwamba Marekani wanataka kumchomoa Mchina pale Zambia. Zambia imefika pabaya kwa Mchina. Sasa Marekani na Uingereza hawajafurahishwa na kiasi hicho cha nguvu ya Mchina pale Zambia. Kwa hiyo lazima HH awekwe mtu kati kisawasawa.