Kuna vitu tunapishana:
1. Ukweli wa alichokisema Bashiru
2. Dhamira ya Bashiru katika kuema alichokisema
1. Namba moja hapo juu ni kuwa Bashiru kasema ukweli mtupu, tena mkali kweli kweli. Lakini Je, twende namba mbili
2. Je ana dhamira from the innermost chamber of his heart kuwatetea wakulima? au kuna kitu kinamsukuma nyuma ya pazia? (maana kuna wakati alikuwa mratibu/kinara/muasisi wa kusifia MTAWALA kama hawa wanaomsifia SAMIA). Leo kachukizwa na nini hawa wakisifia kama yeye alivyokuwa anasifia?)
a) Amekemea kusifia watawala, eg kuupiga mwingi and the like. Je ana Audacity/moral authority ya kusema hayo?
To me, nasema to me please, Any discussion about Bashiru's recent utterances should reflect those two central issues above.
http://bit.ly/2Ic3bBc
(Katiba ni kiporo kilicho chcha hakiliki, leo akija akasema katiba si kiporo, kinalika...ametumwa na dhamira yakuwa na Katiba bora au kuna kitu kinamsukuma)
1. Ukweli wa alichokisema Bashiru
2. Dhamira ya Bashiru katika kuema alichokisema
1. Namba moja hapo juu ni kuwa Bashiru kasema ukweli mtupu, tena mkali kweli kweli. Lakini Je, twende namba mbili
2. Je ana dhamira from the innermost chamber of his heart kuwatetea wakulima? au kuna kitu kinamsukuma nyuma ya pazia? (maana kuna wakati alikuwa mratibu/kinara/muasisi wa kusifia MTAWALA kama hawa wanaomsifia SAMIA). Leo kachukizwa na nini hawa wakisifia kama yeye alivyokuwa anasifia?)
a) Amekemea kusifia watawala, eg kuupiga mwingi and the like. Je ana Audacity/moral authority ya kusema hayo?
To me, nasema to me please, Any discussion about Bashiru's recent utterances should reflect those two central issues above.
http://bit.ly/2Ic3bBc
(Katiba ni kiporo kilicho chcha hakiliki, leo akija akasema katiba si kiporo, kinalika...ametumwa na dhamira yakuwa na Katiba bora au kuna kitu kinamsukuma)