ISIS wenyewe ndio wamesema wamehusika, BBC inasema kile walichosema ISIS wenyeweKwanini bbc swahili inahimiza islamic state wamehusika Urusi wakati Urusi inasema Ukrain ndio wahusika?
Kwanini bbc hataki ripoti ya warusi badala yake wanayo yao mfukoni?
Aliwahi kusema Putin wakati anafanyiwa mahojiano na Tucker Carlison wa X kuwasi mzungu huyo
Kwa hivyo warusi hawajasikia ISIS? Sasa ISIS pengine aliesema shushu ea magharibi unaamini vipi?ISIS wenyewe ndio wamesema wamehusika, BBC inasema kile walichosema ISIS wenyewe
Warusi wamesemaPia Putin hajasema Ukraine wamehusika
Kwanini bbc swahili inahimiza islamic state wamehusika shambulio la Urusi? wakati serekali ya Urusi inasema Ukrain ndio wahusika? Warusi wanahimiza ukrain ndio wahusiks lkn bbc swahili hawataki kutoa kuripoti hivyi
Kwanini bbc hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Russian President Vladimir Putin has delivered a public address, calling the attack a barbaric act of terrorism and vowing to punish the perpetrators. He also accused Ukraine of preparing a "window" to help the suspects escape. Kyiv has staunchly denied any role in the attackPropaganda za HAMASI zimewashinda sasa mmehamia UKRAINE.
Russian President Vladimir Putin has delivered a public address, calling the attack a barbaric act of terrorism and vowing to punish the perpetrators. He also accused Ukraine of preparing a "window" to help the suspects escape. Kyiv has staunchly denied any role in the attackPutin hajasema Ukraine wamehusika, amesema walikuwa wanakimbilia mpakani mwa Ukraine na kuna watu huko Ukraine walikuwa wanawasiliana nao, hii ni taarifa tata ili kuwakanganya watu na kuficha uzembe wake kwa kudharau onyo la US.
Huo uchunguzi Putin aliufanya kwa muda gani? Hata kama ingekuwa kweli ndio hivyo, kuwasadia hao watu kutoroka sio lazima na wala haiwezi kumaanisha wao ndio waliwatuma, inawezekana Ukraine akawa anafuata tu ile kanuni ya "adui wa adui yako ni rafiki yako" hivyo wakaamua kuwasaidia.Russian President Vladimir Putin has delivered a public address, calling the attack a barbaric act of terrorism and vowing to punish the perpetrators. He also accused Ukraine of preparing a "window" to help the suspects escape. Kyiv has staunchly denied any role in the attack
Hao bbc wamefanya liniHuo uchunguzi Putin aliufanya kwa muda gani? Hata kama ingekuwa kweli ndio hivyo, kuwasadia hao watu kutoroka sio lazima na wala haiwezi kumaanisha wao ndio waliwatuma, inawezekana Ukraine akawa anafuata tu ile kanuni ya "adui wa adui yako ni rafiki yako" hivyo wakaamua kuwasaidia.
Washambuliaji waliokamatwa hawajataja km ni wanachama wa isis wanasema tu wamelipwa wafanye shambulioKwa hivyo warusi hawajasikia ISIS? Sasa ISIS pengine aliesema shushu ea magharibi unaamini vipi?
Kama watu waliokuwa wanafanya naoawasiliano wako Ukraine ni wazi watu wa usalama wa Ukraine walitambua uwepo waoPutin hajasema Ukraine wamehusika, amesema walikuwa wanakimbilia mpakani mwa Ukraine na kuna watu huko Ukraine walikuwa wanawasiliana nao, hii ni taarifa tata ili kuwakanganya watu na kuficha uzembe wake kwa kudharau onyo la US.
Unajuaje kama Marekani walizipata taarifa zilizopuuzwa na Urusi kutoka kwa watu wa Usalama wa Ukraine??Kama watu waliokuwa wanafanya naoawasiliano wako Ukraine ni wazi watu wa usalama wa Ukraine walitambua uwepo wao
Washambuliaji waliokamatwa hawajataja km ni wanachama wa isis wanasema tu wamelipwa wafanye shambulio
isis ndo wamekir mbona mnajitia uchiz , ukraine mnaiwaza sn , kama ukraine anaweza fanya hivyo kwann hawakufanya hivyo tangu zamaniWashambuliaji waliokamatwa hawajataja km ni wanachama wa isis wanasema tu wamelipwa wafanye shambulio
Hiki kikombe hakiepukiki kwa Ukraineisis ndo wamekir mbona mnajitia uchiz , ukraine mnaiwaza sn , kama ukraine anaweza fanya hivyo kwann hawakufanya hivyo tangu zamani