Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kwa nini bei ya fuel Zambia ni ndogo kuliko Tanzania wakati Zambia wanapitisha kwenye bandari yetuTumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.
Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?
Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Weka link hapa ya hio S-400.Ila Kagame huwa ana mambo ya mihemko & mkurukupo eti kuna kipindi alitaka kununua S-400 ya mrusi sijui alikuwa analenga nini
Na Gari hizo ni LHD,fanya wakutengenezee special order RHD.wafanya biashara wa magari changamkieni fursa hiyo.
binafsi naangalia utaratibu wa kwenda kabisa Rwanda nikanunue hukohuko
kama inawezekana basi hakuna tatizo.Na Gari hizo ni LHD,fanya wakutengenezee special order RHD.
hapana.Hapo ni kama wewe umeagiza kabati na lipo kwenye box [emoji403] ukaanza kuunganisha tu
Thamani haiwezi kushuka kwa sababu ni mjerumani na sio Mrundi
hapana.
Rwanda wapewa leseni (under license) na kampuni inayo tengeneza hayo magari, hivyo kila kitu kinafanyikia hapo Rwanda, kuna wataalamu wa kutosha. hivyo gharama inapungua kwa mnyaruwanda na hata kwa majirani kama sisi wa Tz.
Link haziruhusiwi na jfWeka link hapa ya hio S-400.
Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.
Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?
Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Kiwanda cha Arusha General Tyre kipindi kilipo kuwa kina zalisha matairi bei zilikuwa chini sana, ila wafanya biashara wa matairi wakakihujumu ili wauze matairi kwa bei ya juu.Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?
Nchi hii mzalendo alikuwa Nyerere pekee, wengine ni wakoloni weusi.Kiwanda cha Arusha General Tyre kipindi kilipo kuwa kina zalisha matairi bei zilikuwa chini sana, ila wafanya biashara wa matairi wakakihujumu ili wauze matairi kwa bei ya juu.
kukosekana kwa uzalendo pia kunarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu. watu wachache kwa kujali matumbo yao.
viwanda vyetu vya ndani vikiongeza uzalishaji wa kila bidhaa lazima bei itashuka.
Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.
Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?
Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Zile za japan sio mpya ni usednafahamu kuwa wanaunganisha, lkn naamini bei itakuwa nafuu tofauti na zile za kuagiza kutoka Japan n.k
Hatua yakuunganisha vitu vya watu ndo hatuasawa wanunganisha sisi je tunaweza kuunganisha hata pikipiki?
wenzetu Rwanda angalu wamepiga hatua ya kuunganisha hayo magari ya kifahari,
sisi tuna nyumbu lkn nyumbu yenyewe ni kama vile haipo.
Mawaziri wetu na watendaji wengine ktk idara mbalimbali za serikali badilikeni.....tunapaswa tukimbie.
wenzetu Rwanda wana kiwanda cha kutengeneza simu sisi bado tunaagiza kutoka china.
Tanzania kama ikiamua kutumia fursa ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu tulipaswa sisi ndio tuwe vinara wa kusambaza bidhaa mbalimbali kwa nchi zinazo tuzunguka.