sawa wanunganisha sisi je tunaweza kuunganisha hata pikipiki?
wenzetu Rwanda angalu wamepiga hatua ya kuunganisha hayo magari ya kifahari,
sisi tuna nyumbu lkn nyumbu yenyewe ni kama vile haipo.
Mawaziri wetu na watendaji wengine ktk idara mbalimbali za serikali badilikeni.....tunapaswa tukimbie.
wenzetu Rwanda wana kiwanda cha kutengeneza simu sisi bado tunaagiza kutoka china.
Tanzania kama ikiamua kutumia fursa ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu tulipaswa sisi ndio tuwe vinara wa kusambaza bidhaa mbalimbali kwa nchi zinazo tuzunguka.