Kwanini bei ya Volkswagen iwe juu wakati zinatengenezwa Rwanda?

Kwanini bei ya Volkswagen iwe juu wakati zinatengenezwa Rwanda?

Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.

Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?

Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Kwa nini bei ya fuel Zambia ni ndogo kuliko Tanzania wakati Zambia wanapitisha kwenye bandari yetu
 
Nchi yetu inahangaika pa kupatia mapato wanashindwa muangalia Azam na kumuangalia ni kiasi gani decoder ya Azam inamuingizia pesa.

This means kabla Azam hajashtuka kuleta ligi ya Uingereza na akaifanya hivyo singlehandedly kwanini serikali isiingilie kati kwa kumpa back up Azam au mwekezaji mwingine kisha wakawa na hisa kwa mwekezaji na kuingia ubia na Vivendi wamiliki wa Canal + ili kuileta ligi hiyo kwa bei nafuu kabisa?

True DSTV anaweza akawa kaonyeshwa mlango wa kutokea lakini hata hizo nchi zenye Canal + dSTV anaweka gharama reasonable tofauti na hapa. Kifurushi cha juu ambacho kinakupa kila kitu DSTV kinaanzia 89K na kupanda wakati kwa Canal + ni 45,000 tu.

Vitu vidogo vinamatter kwakua vinaonyesha ni jinsi gani Taifa linafikiria.
 
wafanya biashara wa magari changamkieni fursa hiyo.
binafsi naangalia utaratibu wa kwenda kabisa Rwanda nikanunue hukohuko
 
wafanya biashara wa magari changamkieni fursa hiyo.
binafsi naangalia utaratibu wa kwenda kabisa Rwanda nikanunue hukohuko
Na Gari hizo ni LHD,fanya wakutengenezee special order RHD.
 
Angalau kidogo hii inawasaidia kupunguza unfavorable balance of payment.
 
Hapo ni kama wewe umeagiza kabati na lipo kwenye box [emoji403] ukaanza kuunganisha tu

Thamani haiwezi kushuka kwa sababu ni mjerumani na sio Mrundi
 
Hapo ni kama wewe umeagiza kabati na lipo kwenye box [emoji403] ukaanza kuunganisha tu

Thamani haiwezi kushuka kwa sababu ni mjerumani na sio Mrundi
hapana.
Rwanda wamepewa leseni (under license) na kampuni inayo tengeneza hayo magari, hivyo kila kitu kinafanyikia hapo Rwanda, kuna wataalamu wa kutosha. hivyo gharama inapungua kwa mnyaruwanda na hata kwa majirani kama sisi wa Tz.
 
hapana.
Rwanda wapewa leseni (under license) na kampuni inayo tengeneza hayo magari, hivyo kila kitu kinafanyikia hapo Rwanda, kuna wataalamu wa kutosha. hivyo gharama inapungua kwa mnyaruwanda na hata kwa majirani kama sisi wa Tz.

Ukiangalia bei ya VW Polo UK ni 15,000 sawa na $20,000
Na Rwanda bei ya Polo ni $23,000
Sidhani kama kuna pungufu hapo
Labda utanifungua macho hapo
 
Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.

Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?

Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?
 
Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?
Kiwanda cha Arusha General Tyre kipindi kilipo kuwa kina zalisha matairi bei zilikuwa chini sana, ila wafanya biashara wa matairi wakakihujumu ili wauze matairi kwa bei ya juu.
kukosekana kwa uzalendo pia kunarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu. watu wachache kwa kujali matumbo yao.
viwanda vyetu vya ndani vikiongeza uzalishaji wa kila bidhaa lazima bei itashuka.
 
Kiwanda cha Arusha General Tyre kipindi kilipo kuwa kina zalisha matairi bei zilikuwa chini sana, ila wafanya biashara wa matairi wakakihujumu ili wauze matairi kwa bei ya juu.
kukosekana kwa uzalendo pia kunarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu. watu wachache kwa kujali matumbo yao.
viwanda vyetu vya ndani vikiongeza uzalishaji wa kila bidhaa lazima bei itashuka.
Nchi hii mzalendo alikuwa Nyerere pekee, wengine ni wakoloni weusi.
 
Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.

Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?

Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.

Wewe hujui diesel na petrol bei Dar juu kuliko Lusaka?
 
sawa wanunganisha sisi je tunaweza kuunganisha hata pikipiki?

wenzetu Rwanda angalu wamepiga hatua ya kuunganisha hayo magari ya kifahari,

sisi tuna nyumbu lkn nyumbu yenyewe ni kama vile haipo.

Mawaziri wetu na watendaji wengine ktk idara mbalimbali za serikali badilikeni.....tunapaswa tukimbie.

wenzetu Rwanda wana kiwanda cha kutengeneza simu sisi bado tunaagiza kutoka china.

Tanzania kama ikiamua kutumia fursa ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu tulipaswa sisi ndio tuwe vinara wa kusambaza bidhaa mbalimbali kwa nchi zinazo tuzunguka.
Hatua yakuunganisha vitu vya watu ndo hatua
Unakukumbuka mto wa mbu paliasisiwa nn na Ccm mlifanya nn, Tunataka vyetu madini chuma tu nayo afrika duniani hakuna.. Vyama vikongwe vinatuchelewesha we need new fikra
 
Back
Top Bottom