kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Jesh pia libadilike sana mana ndo chombo naipenda na nakiamini sana ile department aliasisi magufuli isiuawe(science)...watanzania kazi yetu ni kuchonga maneno na kupiga fitina na majungu. tubadilike jamani, unakuta wasomi wazima walio elemika wamekabidhiwa dhamana hamna kitu!!
kwa sasa basi tuwe soko kwa ndugu zetu wa Rwanda, tuanze kuagiza Magari hayo ili angalau tyuwaunge mkono jirani zetu badala ya kuagiza magari kutoka Japani.
Subiri maneno mengi na ujuwaji mwingi watakavyo anza kuchonga!
ANKO KAGAME NA ANT WAMEPENDEZA KWELI, aaah
Copy na kupaste hio habari hapa na source yake boss.Link haziruhusiwi na jf
Hiyo taabu yote ya kazi gani kwani hapa tuko kwenye lile shindano la million 5 za meloCopy na kupaste hio habari hapa na source yake boss.
Story ya uongo hio ndio maana hakuna popote pale inapatikana kwenye internet.Hiyo taabu yote ya kazi gani kwani hapa tuko kwenye lile shindano la million 5 za melo
Kwani kwenye internet hakuna uongo dogo jeskaStory ya uongo hio ndio maana hakuna popote pale inapatikana kwenye internet.
Uongo upo mwingi sana mke wangu.Kwani kwenye internet hakuna uongo dogo jeska
Sawa nke wane ngoja ngoshi wako nipambane kukutafutia ukweli huku internet ninakoishi kwa sasaUongo upo mwingi sana mke wangu.
Ukimaliza njoo umwagiwe kohoz la mtandao pendwa mke wangu.Sawa nke wane ngoja ngoshi wako nipambane kukutafutia ukweli huku internet ninakoishi kwa sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi nilifikiri kuwa utaishauri Serikali yetu nayo ianze kutengeneza magari hayo hapa nchini kwetu ili bei iwe chini zaidi lakini umeshauri kitu tofauti kabisa!
My take:
Mtu mweusi ni Kima aliechangamka.
Dah! uwezo wako wa kufikir ndio umeishia hapo?Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?
Kwani pikipiki za mchina si zinakujaga kwenye mabox ya mbao tuna assemble chini ya miembe tu na miamvuli yao ya SanLGsawa wanunganisha sisi je tunaweza kuunganisha hata pikipiki?
wenzetu Rwanda angalu wamepiga hatua ya kuunganisha hayo magari ya kifahari,
sisi tuna nyumbu lkn nyumbu yenyewe ni kama vile haipo.
Mawaziri wetu na watendaji wengine ktk idara mbalimbali za serikali badilikeni.....tunapaswa tukimbie.
wenzetu Rwanda wana kiwanda cha kutengeneza simu sisi bado tunaagiza kutoka china.
Tanzania kama ikiamua kutumia fursa ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu tulipaswa sisi ndio tuwe vinara wa kusambaza bidhaa mbalimbali kwa nchi zinazo tuzunguka.
Bei lazima iwe ile ile ya ujerumani😅 sababu ni under licence ya Volkswagen GroupWewe unaagiza mitumba ya Japan, Rwanda 'wanaasembo' 0KM…. unataka kusemaje?
Jesh pia libadilike sana mana ndo chombo naipenda na nakiamini sana ile department aliasisi magufuli isiuawe(science)...
Mbona muasisi kauawa na jeshi lipo kimya tu.!
usinitishe kwahyo hatajambo muhimu hilo litafutika kama mengineMbona muasisi kauawa na jeshi lipo kimya tu.!
nimecheka harafu madam haelewi hilo anachkelea Rwanda wanatengeneza magariBei lazima iwe ile ile ya ujerumani[emoji28] sababu ni under licence ya Volkswagen Group
Kutoka Japan tena,hiyo ni VW mkuu...!nafahamu kuwa wanaunganisha, lkn naamini bei itakuwa nafuu tofauti na zile za kuagiza kutoka Japan n.k
hivi hapa tz hakuna wafanya biashara wenye uwezo wa kuunganisha gari za kifahari hapahapa tz, naamini wapo mabiloonea kama mzee wetu Bakhresa, Mo. au hakuna faida kwenye hii business?Kutoka Japan tena,hiyo ni VW mkuu...!
Madikteta kujimwambafai kawaida mkuuIla Kagame huwa ana mambo ya mihemko & mkurukupo eti kuna kipindi alitaka kununua S-400 ya mrusi sijui alikuwa analenga nini