Kwanini bei ya Volkswagen iwe juu wakati zinatengenezwa Rwanda?

Jesh pia libadilike sana mana ndo chombo naipenda na nakiamini sana ile department aliasisi magufuli isiuawe(science)...
 
Kwanini bei ya Condom ni rahisi wakati inatengenezewa MAREKANI?
Dah! uwezo wako wa kufikir ndio umeishia hapo?
Yan watanzania sijuw nani katuloga?
most of them priority ni ngono tuhh
Aaaargh! tuwe na option nyingine itakayokuwa Sustainable from one generation to another especial on economic, political and social
 
Kwani pikipiki za mchina si zinakujaga kwenye mabox ya mbao tuna assemble chini ya miembe tu na miamvuli yao ya SanLG
 
Kutoka Japan tena,hiyo ni VW mkuu...!
hivi hapa tz hakuna wafanya biashara wenye uwezo wa kuunganisha gari za kifahari hapahapa tz, naamini wapo mabiloonea kama mzee wetu Bakhresa, Mo. au hakuna faida kwenye hii business?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…