Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda.
Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?
Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.
Nimejiuliza swali moja:
1. Kwanini bei ya magari hayo yanayotengenezwa Rwanda bado bei yake iko juu hapa Tanzania?! Je, magari hayo hayana soko hapa Tanzania?
Tunaomba Serikali yetu kupitia Wizara ya viwanda na biashara iruhusu wafanya biashara wa Tanzania waruhusiwe kuingiza magari hayo nchini ili watanzania wapate fursa ya kununua kwa bei nafuu.