Best Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 483
- 688
Haya mnayolalamikia siyo Bongo tu. Karibu benki zote yapo. Majuu bank statement benki inakutumia statement ya kila mwezi kwa njia ya electronic. Ukienda bank kutaka wakupe unalipia.Hadi bank statement wanachaji hii ishu imenitokea 21/06/021 kwa kweli sina ham nao maana wamenikata pakubwa sana
Sent from my itel A44 using JamiiForums mobile app
Mawazo yako.Mfanyakazi wa Benki ndio mshirika mkuu wa wizi
Hii ikiletwa bongo itaongeza mzunguko wa fedha coz watu watakuwa wana spend sana kwa kujua hela yake iliyoko benki anaweza kuitoa muda wowote bila kuchajiwa chochoteMada ya Mtoa hoja ni fikirishi na inahitaji exposure kidogo kwenye masuala ya monetary na banking system hasa katika nchi zilizopiga hatua kubwa kiuchumi.
Ukizitazama nchi zenye uchumi mzuri kifedha mathalani China kwa mfano, wao huamini benki ndizo zilipaswa kuwalipa wateja wao kwa kutunza fedha kwao (japo sina hakika kama linafanyika hilo) ila jambo nililolithibitisha ni kwamba HAKUNA CHARGES ZOZOTE ANAZOTOZWA MTEJA AFANYAPO MUAMALA WOWOTE WA KIFEDHA. Kwa maana nyingine ni kwamba kuna zero charges katika mifumo yao ya kawaida ya kibenki mathalani ATM n.k na kama ulikuwa na 100k kwenye akaunti yako haijalishi utatazama salio mara ngapi salio lako litabaki kuwa 100k na siku ukienda kutoa unaweza ukitoa 100k yote.
Jambo hilo linawezekana kufanyika hata hapa kwetu ikiwa serikali yetu kupitia kupitia Wizara ya fedha itaamua kuyaelekeza mabenki (kupitia BOT) kuondoa tozo za miamala yote ya kifedha katika benki zao.
Tatizo tulilo nalo sisi Tanzania ni kuwa serikali ndiyo inayoyahimiza mabenki kuweka tozo kama kodi ya serikali katika miamala inayofanyika. Kwa maana nyingine serikali ndiyo inayotubebesha mzigo huu.
AMANI IWE NANYI
Utafiti au ushambaJana nimefanya utafit kila baada ya muda nachungulia salio kwa simu, mara 3 nimekuta lipo the same.weeee mara ya 4 nikakuta 1500 imepungua,wezi sn
Kumbe watanzania tukitulia tunafikiria vizuri sana?Mada ya Mtoa hoja ni fikirishi na inahitaji exposure kidogo kwenye masuala ya monetary na banking system hasa katika nchi zilizopiga hatua kubwa kiuchumi.
Ukizitazama nchi zenye uchumi mzuri kifedha mathalani China kwa mfano, wao huamini benki ndizo zilipaswa kuwalipa wateja wao kwa kutunza fedha kwao (japo sina hakika kama linafanyika hilo) ila jambo nililolithibitisha ni kwamba HAKUNA CHARGES ZOZOTE ANAZOTOZWA MTEJA AFANYAPO MUAMALA WOWOTE WA KIFEDHA. Kwa maana nyingine ni kwamba kuna zero charges katika mifumo yao ya kawaida ya kibenki mathalani ATM n.k na kama ulikuwa na 100k kwenye akaunti yako haijalishi utatazama salio mara ngapi salio lako litabaki kuwa 100k na siku ukienda kutoa unaweza ukitoa 100k yote.
Jambo hilo linawezekana kufanyika hata hapa kwetu ikiwa serikali yetu kupitia kupitia Wizara ya fedha itaamua kuyaelekeza mabenki (kupitia BOT) kuondoa tozo za miamala yote ya kifedha katika benki zao.
Tatizo tulilo nalo sisi Tanzania ni kuwa serikali ndiyo inayoyahimiza mabenki kuweka tozo kama kodi ya serikali katika miamala inayofanyika. Kwa maana nyingine serikali ndiyo inayotubebesha mzigo huu.
AMANI IWE NANYI
Umezungumza vyema ndugu yangu andiko lako lilipaswa lichapishwe peke yake serikali ndo yenye shida wanapiga kodi kwenye kila muamala hii imesababisha mabenk kuwapa mzigo wateja waoMada ya Mtoa hoja ni fikirishi na inahitaji exposure kidogo kwenye masuala ya monetary na banking system hasa katika nchi zilizopiga hatua kubwa kiuchumi.
Ukizitazama nchi zenye uchumi mzuri kifedha mathalani China kwa mfano, wao huamini benki ndizo zilipaswa kuwalipa wateja wao kwa kutunza fedha kwao (japo sina hakika kama linafanyika hilo) ila jambo nililolithibitisha ni kwamba HAKUNA CHARGES ZOZOTE ANAZOTOZWA MTEJA AFANYAPO MUAMALA WOWOTE WA KIFEDHA. Kwa maana nyingine ni kwamba kuna zero charges katika mifumo yao ya kawaida ya kibenki mathalani ATM n.k na kama ulikuwa na 100k kwenye akaunti yako haijalishi utatazama salio mara ngapi salio lako litabaki kuwa 100k na siku ukienda kutoa unaweza ukitoa 100k yote.
Jambo hilo linawezekana kufanyika hata hapa kwetu ikiwa serikali yetu kupitia kupitia Wizara ya fedha itaamua kuyaelekeza mabenki (kupitia BOT) kuondoa tozo za miamala yote ya kifedha katika benki zao.
Tatizo tulilo nalo sisi Tanzania ni kuwa serikali ndiyo inayoyahimiza mabenki kuweka tozo kama kodi ya serikali katika miamala inayofanyika. Kwa maana nyingine serikali ndiyo inayotubebesha mzigo huu.
AMANI IWE NANYI
Yan umeongea upuuuzi wa ajabu sna ila sikulaumu yawezekana elimu yako ni ndogo sana na huna ufahamu wa mambo ya uchumi mabank yanatengeneza faida sana kupitia vi laki hivyo unavyovidharau kuna kitu kinaitwa potfollio management bro ni mada panaVishingi vyako laki tano unavyoweka leo asubuhi na kuvichukuwa kwesho jioni ndiyo benki wafanyie biashara ya kukopesha watu? Hivi unadhani gharama za kuendesha benki 7/24, infrastructure zake zote siyo gharama? Anzisha yako au tafuta watu mfanye ushirika muanzishe ya kwenu na muwape wateja huduma kama unavyosema. Bila shaka wateja wengi watahamia kwenu kwani gharama zenu zitakuwa ndogo sana.
Ulitaka Kula lazima uliwe.Ndio mzunguko Wa pesa huo lazima uliwe kidogo .
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mtanzania kwa ''utaalam'' tu. Akisoma kidogo nadharia utadhani yeye ndiye mwanzilishi wake. Haya mnayolalamika hapa yote ni upuuzi wa hali ya juu, na yanatokana na kukosa exposure. Mtu kama wewe unaonekana umeenda hivi vyuo vya kata basi umekuwa kama yule kipofu aliyeona mwezi. Kukaa kwangu nje kumenifanya niwe na account kwenye benki mbalimbali. Hizi fees mnazolalamikia haziepukiki kwani ndiyo zinafanya benki ziwepo. Benki siyo kama parishi ya kanisa inayofanya mambo kwa bila faida. Kwa mfano benki moja niliyokuwa na na account, hata kama hakuna fedha kama hujaifunga utachajiwa fee kila mwezi. Vile vile mwenye fedha naye anachajiwa fee kila mwezi.Yan umeongea upuuuzi wa ajabu sna ila sikulaumu yawezekana elimu yako ni ndogo sana na huna ufahamu wa mambo ya uchumi mabank yanatengeneza faida sana kupitia vi laki hivyo unavyovidharau kuna kitu kinaitwa potfollio management bro ni mada pana
Mkuu nilipokua napingana na wewe ni hapo unapodharau laki tano nikakuona kidogo ufahamu kuhusu mambo ya bank ni mgeni lakin mtoa mada anahoja kama mwanazuoni inabidi utoe hoja za msingi kwanini mtoa mada kafikiria hivyo[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Mtanzania kwa ''utaalam'' tu. Akisoma kidogo nadharia utadhani yeye ndiye mwanzilishi wake. Haya mnayolalamika hapa yote ni upuuzi wa hali ya juu, na yanatokana na kukosa exposure. Mtu kama wewe unaonekana umeenda hivi vyuo vya kata basi umekuwa kama yule kipofu aliyeona mwezi. Kukaa kwangu nje kumenifanya niwe na account kwenye benki mbalimbali. Hizi fees mnazolalamikia haziepukiki kwani ndiyo zinafanya benki ziwepo. Benki siyo kama parishi ya kanisa inayofanya mambo kwa bila faida. Kwa mfano benki moja niliyokuwa na na account, hata kama hakuna fedha kama hujaifunga utachajiwa fee kila mwezi. Vile vile mwenye fedha naye anachajiwa fee kila mwezi.
Ndiyo nimesema ni admistration fee na benki nyingi zinachaji.Mkuu nilipokua napingana na wewe ni hapo unapodharau laki tano nikakuona kidogo ufahamu kuhusu mambo ya bank ni mgeni lakin mtoa mada anahoja kama mwanazuoni inabidi utoe hoja za msingi kwanini mtoa mada kafikiria hivyo
1.Kuweka Facility za ATM za kutosha upate fedha muda unapohitajiHabari za leo wakuu,
Leo tujadili hizi tozo za mabenki [withdrawal charges] kwa wateja ambao kimsingi ndio wamiliki wa fedha hizo.
Mteja anatunza pesa yake benki, na benki zinaifanyia biashara [kukopesha] kwa faida. Kisha mmiliki akihitaji kutoa kiasi chochote kwa matumizi yake hutozwa 'ada' kiasi fulani.
Hii imekaaje?
Ni afadhali wangeishia kuchaji zile ada za kuhifadhi tu, kama ni kwa mwezi au vyovyote.
Angalau tungejua ni gharama ya kutunza fedha, lakini hii ya kila unapotoa wanakata ni WIZI tu kama WIZI mwingine.
Kama kuna sababu zenye mashiko hebu tuzijadili hapa.
Nawasilisha.
Equity bank ni free kutazama salio. Ila ukitumia mobile banking kwa kutumia line ya tigoUna hoja nzuri sana. Zaidi naongezea gharama za kuangalia salio. Nataka kuangalia kujua kiasi gani cha pesa nilichonacho, sasa kwanini unitoze kuangalia pesa zangu mwenyewe? Huduma za kutuma pesa ni sawa kwasababu mnanisaidia kifikisha pesa kwa mwingine.
Wezi kivipi na kila mara unaangalia salio?.na wao wanahakikisha unapata hio hudumaJana nimefanya utafit kila baada ya muda nachungulia salio kwa simu, mara 3 nimekuta lipo the same.weeee mara ya 4 nikakuta 1500 imepungua,wezi sn