Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Wanatukata hata kuangalia salio kwenye ATM! Halafu mwisho wa mwaka wanatangaza faida ya mabilioni kumbe ni vibaka tu km wengine. Ni wizi mtupu - NMB Tanzania. Hivi nyie NMB Tanzania mngejisikiaje kama Vodacom, Tigo, Aritel, Halotel nk wangewakata muda wa maongezi kwenye simu zenu kila mnapoangalia salio?
Mkuu haya ni matatizo ya nchi zinazoendelea tu. USA na developed countries zingine kama unatoa hela kwenye ATM za benki husika ulipo na account yako ni bure. Kuangalia salio benki karibu zote zina apps unacheck tu kiganhani free.