Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mkuu haya ni matatizo ya nchi zinazoendelea tu. USA na developed countries zingine kama unatoa hela kwenye ATM za benki husika ulipo na account yako ni bure. Kuangalia salio benki karibu zote zina apps unacheck tu kiganhani free.
Ogopa sana kuona Biashara ambayo wanakodi jengo kuubwa, wanaajiri watu na elimu zao za juu, wana ajiri kampuni za ulinzi, wanatoa tenda za internet, kuweka ATM mashine ili tu kukutunzia wewe elfu kumi (10,000) yako.
Kuangalia salio wapo right kukata. Kwa mfano una milioni ishirini na nne laki tatu na sabini na saba elfu na mia mbili hamsini, ukisema uhesabie mwenyewe utatumia muda gani? Sasa wewe unakuwa umeipa kazi mashine ikuhesabilie pesa yako kwa muda mfupi kwa TZS 350 TU.