Kwanini benki zinaendelea kukata tozo za Serikali kwa interbank transactions?

Kwanini benki zinaendelea kukata tozo za Serikali kwa interbank transactions?

Planet FSD

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2019
Posts
455
Reaction score
948
Wadau habari za muda. Naomba tusaidiane hapa, maana kuna mtu kanifata kuniuliza kitu ambacho nimeshindwa kumjibu.

Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita Waziri Wa Fedha Bw. Mwigulu alichukua maoni ya wadau kuhusiana na tozo za kiserikali kwenye huduma za kibenki ambazo zililalamikiwa sana tangu mwaka huu wa fedha ulipoanza.

Kwa kumbukumbu zangu alitoka hadharani na kusema kuwa hizi tozo katika huduma za kibenki zilionekana na pure double taxation hasa kwenye mishahara ya watu na zilifutwa. Tozo zilibaki kwenye kutoa hela bank na sio kutuma hela.

Sasa huyu kijana anasema yeye ametuma hela kutoka account yake moja ya NMB (matumizi) kwenda nyingine ya NMB (ya akiba) cha ajabu amekuwa charged government levy? Nilishtuka kidogo, sikutaka kumjibu nikamwambia anipe muda. Je, ni mimi sikuelewa kuhusu kufutwa kwa tozo hizi au kuna jambo la siri hapa linaendelea? Maana kiukweli huu ni wizi wa hali ya juu.

Naomba aliyeelewa anisaidie hapa.

9068D4BD-C4FD-43DB-826A-722FBB5BDDDD.jpeg
32FA3D9C-4A4D-4CCF-BF73-CBD4EFD73B09.jpeg
https://www.mof.go.tz/uploads/text-editor/files/KAULI YA SERIKALI SERIKALI SEPT 2022_1663668606.pdf
 
Hilo nalo ni mojawapo ya mambo yanayofukuza wawekezaji. Kwa hisani ya Synthesizer, (Rais Samia, hata siku moja mwekezaji habembelezwi kuja kuwekeza nchini, tafadhali zingatia yafuatayo watakuja wenyewe)
  1. Upatikanaji wa umeme wa uhakika
  2. Upatikanaji wa maji wa uhakika
  3. Soko la uhakika la kile wanachotaka kuwekeza (local na Tanzania as an exporter to regional markets)
  4. Sera za uwekezaji zilizo wazi (transparent) na zilizohakikishwa (policy certainty)
  5. Kutokuwepo ukiritimba (red-tape au bureaucracy)
  6. Urahisi wa kuishi Tanzania (residency permits)
  7. Kutokuwepo kwa rushwa (level of corruption in the country)
  8. Uaminifu na uchapakazi wa wafanyakazi (trustworthy and hardworking labor force, sio wadokozi ofisini laptop zikipotea hovyo nk)
  9. Urahisi wa kutoka na kuingia Tanzania (kupata visa, urahisi wa flights kuja nchini nk)
  10. Miundo mbinu ya barabara, airports, majengo ya ofisi nk
  11. Ubora na uhodari (efficiency) na cost za bandari katika kutoa huduma
  12. Kodi rafiki za TRA kwa wawekezaji ambazo zinajulikana kwa kanuni sio za kubambikiana
  13. Sheria za kazi zilizo rafiki (labour laws nchini)
  14. Sheria za utoaji faida (laws and regulations of repatriation of profits)
  15. Usalama katika nchi pamoja na kutokuwapo uhalifu
  16. Utulivu na amani katika siasa za ndani (CCM Vs vyama vya upinzani)
  17. Huduma za afya (matibabu)
  18. Mazingira stareheshe (uzuri wa hoteli na vivutio nk)
 
Hyo kodi bado ipo, mimi pia kupitia SIM Banking ya Crdb kuna makato kama hayo, tena mbaya zaidi ni ya kila siku, wanakata hizo pesa utadhani waliweka wao.
 
Sina nijualo benki waliwahi kunilia elfu 60 mfululizo miezi miwili nilipowafikishia hiyo hoja hela yangu ilirudishwa yote kwa pamoja... maana yake ni kwamba kama ingekuwa hela ile siyo kubwa wala nisingegundua kitu

Kwahiyo hizo kodi sijui tozo wallahi nazijua siku tu ninapotaka huduma fulani nikadaiwa bank statement
 
tozo bado zipo na watanzania hakuna anaelalamika inasikitisha sana
 
Mi ndo maana huwa naona bora uwe na hela cash, mtu akitaka umuwekee kwa wakala
 
Sh 1,776 katika milioni moja ndiyo hela ya kuja kulalamika huku? Katafute nchi yako ya kuishi au kahamie porini uishi na wanyama.
 
Kwani ni lini ziliondolewa? Muwe mnatafakari kauli za serikali kabla ya kushangilia. Serikali ilisema imeondoa tozo kwa miamala isiyozidi sh 30,000/= . Wenye akili walihoji ni Nani hufanya miamala ya kibenkinya shi 20,000/=?

Lkn kwa kuwa mizuzu ilikuwa mingi inayoshangilia sauti na maswali ya wenye akili hazikusikika kabisa.

Kuzaliwa kwenye hii ni mkosi kabisa. Bora ningezaliwa mende nchi za watu ningeuzwa kama chakula cha kuku.
 
Sh 1,776 katika milioni moja ndiyo hela ya kuja kulalamika huku? Katafute nchi yako ya kuishi au kahamie porini uishi na wanyama.
Hawa ndiyo mataahira yanayotumiwa na ccm kama ngazi ya kupandia. Halafu yako mengi kweli kweli
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu. Hasara kwa taifa, uvumilivu wa babako ungetusaidia kulipunguzia taifa mzigo kutoka kwa wapuuzi kama wewe. Ujuaji mwingi afu sifuri, unajifanya unataja terminologies ili uonekane wa maana kumbe ni mburura.
Hii hapa taarifa aliyowasilisha mwigulu nchemba bungeni

View attachment 2449666


https://www.mof.go.tz/uploads/text-editor/files/KAULI YA SERIKALI SERIKALI SEPT 2022_1663668606.pdf

Nenda huko kwa wapuuzi wenzako mkajadiliane mambo yenu ya kijinga kijinga. Humu hufai kuwepo.
Huu sasa ndiyo uthibitisho. Hongera sana mkuu. Umetisha sana
 
Back
Top Bottom