Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kwani waziri wa viwanda na biashara ndio analima miwa humu nchini πHivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda ?
Naandika haya kwa Uzoefu , mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari) , Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau ,mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa .
Swali langu ni hili , Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara ?
Mpaka ni upi kati ya Waziri wa Kilimo na Waziri wa Viwanda katika mazao yanayochakatwa nchini?kwani waziri wa viwanda na biashara ndio analima miwa humu nchini [emoji205]
na kwani tatizo ni biashara ya sukari au kuathirika kwa uzalishaji wa sukari [emoji205]
Ni jukumu la waziri mwenye dhamana ya kilimo kuwajibika katika masuala yote ya uzalishaji wa mazao ya kilimo mathalani miwa, korosho, pamba, mahindi na mazao mengine yote unayoyafahamu nakuingilia kati endapo patatokea changamoto itakayo athiri walaji kwa namna yeyote ile [emoji205]
mpaka ni majukumu tu ambayo yako bayana kwenye wizara husika, mathalani NRFA - wakala wa Taifa wa hifadhi ya Chakula iko chini ya wizara ya kilimo na kwa taarifa tu hii sio Tanzania tu nadhani ni Africa nzima iko hivi πMpaka ni upi kati ya Waziri wa Kilimo na Waziri wa Viwanda katika mazao yanayochakatwa nchini?
Hata Waziri wa biashara hapaswi kuingia jikoniHivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda ?
Naandika haya kwa Uzoefu , mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari) , Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau ,mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa .
Swali langu ni hili , Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara ?
Ni Katibu wa Wahuni!! Wahuni wamekamatwa usukani na Kila mmoja ana kipande chake Cha kupiga.Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda ?
Naandika haya kwa Uzoefu , mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari) , Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau ,mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa .
Swali langu ni hili , Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara ?
Kwahiyo hata bange anapambana nayo Waziri wa Kilimo Kwa sababu inalimwa?kwani waziri wa viwanda na biashara ndio analima miwa humu nchini π
na kwani tatizo ni biashara ya sukari au kuathirika kwa uzalishaji wa sukari π
Ni jukumu la waziri mwenye dhamana ya kilimo kuwajibika katika masuala yote ya uzalishaji wa mazao ya kilimo mathalani miwa, korosho, pamba, mahindi na mazao mengine yote unayoyafahamu nakuingilia kati endapo patatokea changamoto itakayo athiri walaji kwa namna yeyote ile π
Kweli kabisa bwasheeMamafia yameshikilia rimoti ; yanaongoza serikali ya awamu hii.
Tusitegemee sa100 atatusaidia katka hili.
Hakuna kitakachofanyika.
Ni sisi wenyewe wananchi ndio tutakaoweza kulimaliza hili (endapo tukiamua kutoka nyuma ya keyboard zetu na kuingia mtaani nchi nzima).
ndugu,sukari inasimamiwa kwa sheria na ndio maana kuna bodi ya sukari ambayo imeundwa kwa sheria ya bunge,hivyo ni lazima isimamiweHivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda ?
Naandika haya kwa Uzoefu , mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari) , Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau ,mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa .
Swali langu ni hili , Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara ?