Kwanini bidhaa nyingi zinaandikwa neno halal kwa lugha ya kiarabu na imechorwa msikitini kwani nchi yetu ni ya kiarabu? Au nchi yetu ni ya kidini?

Kwanini bidhaa nyingi zinaandikwa neno halal kwa lugha ya kiarabu na imechorwa msikitini kwani nchi yetu ni ya kiarabu? Au nchi yetu ni ya kidini?

halaaaaal yaaa habibiiii

halaal

inamaanisha makafiri/wakiristo kaeni pembeni
 
Yaani kwa bidhaa nyingi sana naziona zimeandikwa halal kwa lugha ya kiarabu na huku umechorwa msikiti kwa maana kwamba nchi hii ni ya kidini na ya kiarabu au nchi hii imeuzwa kwa waarabu mbona hata sielewi au nyingi wenzangu hamjawahi kukutana nazo?

Ila bidhaa za nguruwe sijawahi kuona kabisa naona nyama yao zile za viwandani hazijaandika kwamba sio halali na sijui kwanini tutaendelea kula kitu ambacho hata nchi haijadhibitisha kwamba sio halali na ni kweli nguruwe sio halali we endelea kula upate minyoo aina ya Ascaris lumbicodiea alisikika mlevi fulani
Mnalalamika sana wakristo
 
Yaani kwa bidhaa nyingi sana naziona zimeandikwa halal kwa lugha ya kiarabu na huku umechorwa msikiti kwa maana kwamba nchi hii ni ya kidini na ya kiarabu au nchi hii imeuzwa kwa waarabu mbona hata sielewi au nyingi wenzangu hamjawahi kukutana nazo?

Ila bidhaa za nguruwe sijawahi kuona kabisa naona nyama yao zile za viwandani hazijaandika kwamba sio halali na sijui kwanini tutaendelea kula kitu ambacho hata nchi haijadhibitisha kwamba sio halali na ni kweli nguruwe sio halali we endelea kula upate minyoo aina ya Ascaris lumbicodiea alisikika mlevi fulani

Kuna zingine zimeandikwa "JAMUKAYA" kwani hii nchi ni ya wasukuma?

Pascal Mayalla au nasema uongo?
 
Yaani kwa bidhaa nyingi sana naziona zimeandikwa halal kwa lugha ya kiarabu na huku umechorwa msikiti kwa maana kwamba nchi hii ni ya kidini na ya kiarabu au nchi hii imeuzwa kwa waarabu mbona hata sielewi au nyingi wenzangu hamjawahi kukutana nazo?

Ila bidhaa za nguruwe sijawahi kuona kabisa naona nyama yao zile za viwandani hazijaandika kwamba sio halali na sijui kwanini tutaendelea kula kitu ambacho hata nchi haijadhibitisha kwamba sio halali na ni kweli nguruwe sio halali we endelea kula upate minyoo aina ya Ascaris lumbicodiea alisikika mlevi fulani
Ila watu mna chuki sana jman, duh, punguzeni hata kdg,
Haya mbona bidhaa nyingi mno zina andikwa maneno ya kizungu, kwani sisi ni wazungu ?? Je hujaona bidhaa ambazo zimeandikw maneno ya kichina ?? Sisi ni wachina ??
 
Bidhaa za halal au zilizoandikwa Halal kwa kiarabu zipo sehemu nyingi duniani na hakuna anaelalamika bali ni biashara zaidi

Hata Supermarkets za Ulaya zipo bidhaa hizo za Halal ili kuvutia wateja wa kiislam
Ni kawaida sana boss wala haina shida kabisa
Kwanza nikiona hiyo alama ninakuwa na amani
Kuhusu Kuku hapa UK wengi sana ni Halal mpaka mzungu anakuambia this is Halal 😄 🤣
Watu wanaongozw na wivu na chuki za kidin, ko wala usiumize kichw sana
 
Yaani uislamu unapigwa vita sana

Kuna wapumbavu wanaandika vitu hata hawajui ili mradi washapata point ya kuuongelea vibaya uislamu.

HALAL ni shirika la kimataifa , mfano wa TBS kwa Tanzania

Lenyewe linadeal na standard za bidhaa kwa sheria ya kiislam

Mfano kwa wanaotumia bidhaa za forever zina hiyo nembo

Ikiwa bidhaa za forever zinatengenezwa Marekani na zinatumika worldwide zina hiyo alama halafu anatokea mlevi mmoja wa mataputapu anakuja kuandika uharo
 
Back
Top Bottom