Mods please msifute
Binadamu akiwa utupu kabisa anatisha sana....yaani huwezi kumtamani kumuangalia wala kumtamani...
Ila akivaa nusu utupu....anatokelezea sana,anashawishi kuendelea kumuan galia.
Hii ni kwa sababu gani
Mfano wavulana/,wanaume tukivaa vest na bukta
Wadada nao wakivaa shorts zao zile wanapendeza hatari kuliko wakiwa full naked