Kwanini binadamu akiwa utupu havutii kabisa kama akiwa nusu utupu

Bila nguo hakuna uzuri wowote
 
Kwa mfano?
Kwa mfano?
Mfanoa angalia hata wachawi wanapokamatwa wanakuwa uchi..lakini huwezi kabisa kumpenda,au kumtamani japo anaweza kuwa mzuri....

Lakini akiwa amevaa chup* au khanga tu...anatokelezea.

kama ni wavulana tukiwa kifua waz nasikia tunawadatisha sana wadada..... Ila sasa baki mtupu kabisa na mkunyenye tu uone utakavokimbiwa na watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…