Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

Mkuu Jiulize hivi pia. KwanIni wanyaMa au BinaDAmu ujikaza ua husismka pale wafikapo kileleni. Nafikir utApata jibu lako
wengine hawasisimki wala kujikaza ila wanatukana mwanzo mwisho wengine wananena kwa lugha na kumshukuru muumba kwa kuumba vile viungo anaweza akataja jina la mungu kwa lugha sita tofauti chezea.............. nafikiri ni namna tu kila mtu anavyorespond na kitu/wakati fulani
 
Mkuu sambamba na hili jiulize ni kwa nini mtu akiwa anakufa, miguu inaanza kuwa ya baridi? hii baridi inaanza taratibu miguuni na kupanda juu.
 
Is this not proof enough that you are the spirit and living in the body?
 
Kwanini nininininininiiiii kwaninini? Kwanini mtu akitembea anaweka mguu mmoja mbele halafu anavuta mguu wa pili in-step ili aweze kwenda mbele? kwanini? kwanini mtu akila chakula anapeleka mkono wake kinywani halafu anameza kile chakula? Hivi kwanini lakini? Kwanini kwanini zimezidi sana? Kila siku ni "kwanini hiki" "kwanini kile"...kwanini kila kukicha watu waulize kwanini? WTF?
 
Mkuu sambamba na hili jiulize ni kwa nini mtu akiwa anakufa, miguu inaanza kuwa ya baridi? hii baridi inaanza taratibu miguuni na kupanda juu.

The human heart beats more than 2.5 billion times during the average human lifespan, circulating about 5.6 liters (6 quarts) of blood through the circulatory system. Within minutes of the heart stopping, a process called pallor mortis causes the usually pinkish tone of a Caucasian person to grow pale as blood drains from the smaller veins in the skin.

At the same time, the body begins to cool from its normal temperature of 37° Celsius (98.6° Fahrenheit) until reaching the ambient temperature around it. Known as algor mortis, the decrease in body temperature follows a somewhat linear progression. (Two degrees Celsius in the first hour; One degree each hour thereafter.) This enables forensic scientists to approximate the time of death if necessary, assuming the body hasn't completely cooled and depending upon other external factors, such as indoors vs. outside, humidity, etc.

Source and credit to About.com
 
Inategemea na aina ya kifo kuna wengine wakienda lala ndio ntolee.

Hawatapitapi wala nini
 
Tatizo hili usababishwa na israeli mtoa roho. Wakati wewe hutaki kufa israeli akishakwambia nipe roho niondoke nayo unapobisha ndo inabidi akutoe kinguvu. Lakini ukitulia mambo ya kutapatapa huwa hayatokei.
 
Tatizo hili usababishwa na israeli mtoa roho. Wakati wewe hutaki kufa israeli akishakwambia nipe roho niondoke nayo unapobisha ndo inabidi akutoe kinguvu. Lakini ukitulia mambo ya kutapatapa huwa hayatokei.

Israeli ndo nani acha uongo.....
 
Kiipute ku kyaliki kikolo, gwatile kwiputa kubhasisimikisi? Ungalalamukagha mundumbula jhako, kunyumba jha Tata pingi pa bhujho. U Jesu ajhobhile...!!

Mwingine huyu anaweweseka! Hope yuko the final stage ya "kufa".
Mh!
 
Bujibuji
Ukiangalia Mwanzo 1 : 27 ( Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. )
Biblia inapo sema Mungu akaumba Mtu kwa mfano wake , hapa ina maanisha ni Roho ifananayo na Mungu. Na badae ndio akafaya mtu yaani kufanya katika mwili angalia Mwanzo 2 : 7 ( Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. ). Unaona Roho na Mwili ni vitu tofauti, inapotokea Roho inauacha Mwili, ndipo utaanza kuona ishara kama za kutapatapa kuna kua na Mvutano kati ya Roho ( Maana Roho huya shuhudia inayo endana kukutana nayo, hasa kama Mtu hakua anampendeza Mungu maana yake Roho inakua inashuhudia ile adhabu so inakua inang'ang'ania mwili ili isiende kukutana na ile adhabu, huku mwili kwakua ni mwovu hugoma kuruhusu roho kuendelea kuwamo ndani yake, ndipo hapo lengo la shetani hukamilika kuziingiza roho katika adhabu ambayo nae shetani inamuhusu )


Kifo kifikapo lazima utaabike na kuhangaika sana
. Je hali Hii kwa nini hutokea?
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji
Ukiangalia Mwanzo 1 : 27 ( Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. )
Biblia inapo sema Mungu akaumba Mtu kwa mfano wake , hapa ina maanisha ni Roho ifananayo na Mungu. Na badae ndio akafaya mtu yaani kufanya katika mwili angalia Mwanzo 2 : 7 ( Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. ). Unaona Roho na Mwili ni vitu tofauti, inapotokea Roho inauacha Mwili, ndipo utaanza kuona ishara kama za kutapatapa kuna kua na Mvutano kati ya Roho ( Maana Roho huya shuhudia inayo endana kukutana nayo, hasa kama Mtu hakua anampendeza Mungu maana yake Roho inakua inashuhudia ile adhabu so inakua inang'ang'ania mwili ili isiende kukutana na ile adhabu, huku mwili kwakua ni mwovu hugoma kuruhusu roho kuendelea kuwamo ndani yake, ndipo hapo lengo la shetani hukamilika kuziingiza roho katika adhabu ambayo nae shetani inamuhusu )

Very spiritual ..
 
Last edited by a moderator:
Kiipute ku kyaliki kikolo, gwatile kwiputa kubhasisimikisi? Ungalalamukagha mundumbula jhako, kunyumba jha Tata pingi pa bhujho. U Jesu ajhobhile...!!

we mnyakyusa mi cjaelewa kabisa hapo, hebu andika kiswahili
 
Kutoka kwa roho na uchungu wake ndiko kunako mfanya mtu ahangaike Kutokana na kazi anayofanya Malaika Mtoa roho kutoa roho na inategemea na matendo ya mtu kuna watu wengine maiti zao hukutwa uvunguni mwa kitanda kwa kuhainga na kutapatapa
 
Back
Top Bottom