Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

lazima kutapatapa kwa sababu kiumbe kinabadilisha mfumo wake wa kuishi ..kwa hyo mwili bado unahitaji kupata ATP kama kawaida ..na kadri spidi ya kutapatapa inapokua kubwa ndo energy (ATP) inaisha haraka
 
kuna myth inasema ukiwa mcha mungu wala hutakata roho kwa kutapatapa sasa sijui hata ukikatwa panga huku unatembea pia hutatapatapa kama ww mcha mungu?? by the way ninachojua sababu ya kutapatapa ni kuwa mwili unakuwa bado una nguvu na unakata roho kwa kutapatapa ikiwa tu kuna kiungo muhimu kimeharibika but ukiwa umeugua kwa muda mrefu plus kuzeeka huwezi kutapatapa sana
 
Kutoka kwa roho na uchungu wake ndiko kunako mfanya mtu ahangaike Kutokana na kazi anayofanya Malaika Mtoa roho kutoa roho na inategemea na matendo ya mtu kuna watu wengine maiti zao hukutwa uvunguni mwa kitanda kwa kuhainga na kutapatapa

Mkuu nimeshindwa kujizuia kucheka.. Hadi uvunguni, sijawahi kusikia
 
wenye mashetani ndo hufa kwa kutaabika, Aliyefanya mema duniani, hafi kwa kutaabika,
mf; fuatilia kifo cha watu waliobahatika kula chumvi nyingi kifo chao huwa sio cha kutaabika,
Huwa ni ghafla saa nne za asubuhi anakwambia nishike kidogo mjukuu wangu mimi naondoka.alafu
anakufa.
kwa hio kama kafanya mema tukamchinja anakufa bila kutapatapa?
 
wenye mashetani ndo hufa kwa kutaabika, Aliyefanya mema duniani, hafi kwa kutaabika,
mf; fuatilia kifo cha watu waliobahatika kula chumvi nyingi kifo chao huwa sio cha kutaabika,
Huwa ni ghafla saa nne za asubuhi anakwambia nishike kidogo mjukuu wangu mimi naondoka.alafu
anakufa.
Thank you for informing us/
A certain religion of middle east, "belongs to this group"
 
lazima kutapatapa kwa sababu kiumbe kinabadilisha mfumo wake wa kuishi ..kwa hyo mwili bado unahitaji kupata ATP kama kawaida ..na kadri spidi ya kutapatapa inapokua kubwa ndo energy (ATP) inaisha haraka
Kumbe kuna kiumbe kinaishi ndani ya mwili. Unaweza tuambia hiki kiumbe kinacho ishi ndani ya mwili ni kipi?
 
Kifo kifikapo lazima utaabike na kuhangaika sana
. Je hali Hii kwa nini hutokea?
Kwasababu Binadamu aliumbwa kuishi milele ndani ya mwili. Chaguo hilo la kuishi milele katika mwili au kuto ishi milele katika mwili ilikuwa ni Adam's responsibility to decide, for himself and for you, to wit.
 
Hapa kuna versions mbili tofauti ,moja ikiwa ya kiislam ambayo imezungumzwa kwa ufasaha zaidi ndani ya holy book na pia kuna version ya wanasara wao sijui wamelizungumza vipi hili suala la wakati roho inataka kutoka ndani ya kiwiliwili cha binadamu,haya manasara tufundisheni nasisi pia tufanye hivyo hivyo.Wenzenu sisi hiyo hali huwa tunaiita ni sakratul mauti sijui nyie huiita aje?. M/Mpamba.:lol:
 
Kwasababu Binadamu aliumbwa kuishi milele ndani ya mwili. Chaguo hilo la kuishi milele katika mwili au kuto ishi milele katika mwili ilikuwa ni Adam's responsibility to decide, for himself and for you, to wit.
Tungekuwa tunaishi milele, ardhi ingekuwa inaongezeka? ukipatwa na ajali ya moto kusingekuwa na kuteketea? Ukizama majini e???
 
Tungekuwa tunaishi milele, ardhi ingekuwa inaongezeka? ukipatwa na ajali ya moto kusingekuwa na kuteketea? Ukizama majini e???

You were created to live forever.

GOD SAID, His original creations, Adam and Eve, were to live forever. Genesis, chapter 2, verses 16- 17:

And the LORD God commanded the man, saying, Of every tree of the garden thou mayest freely eat: But of the tree of the knowledge of good and evil, thou shalt not eat of it: for in the day that thou eastest thereof thou shalt surely die.
Does that indicate that Adam and Eve and all who came after them would still be alive today had they not eaten from the tree of the knowledge of good and evil.
 
kuna myth inasema ukiwa mcha mungu wala hutakata roho kwa kutapatapa sasa sijui hata ukikatwa panga huku unatembea pia hutatapatapa kama ww mcha mungu?? by the way ninachojua sababu ya kutapatapa ni kuwa mwili unakuwa bado una nguvu na unakata roho kwa kutapatapa ikiwa tu kuna kiungo muhimu kimeharibika but ukiwa umeugua kwa muda mrefu plus kuzeeka huwezi kutapatapa sana

I think this is the best answer
 
Back
Top Bottom