wengine hawasisimki wala kujikaza ila wanatukana mwanzo mwisho wengine wananena kwa lugha na kumshukuru muumba kwa kuumba vile viungo anaweza akataja jina la mungu kwa lugha sita tofauti chezea.............. nafikiri ni namna tu kila mtu anavyorespond na kitu/wakati fulaniMkuu Jiulize hivi pia. KwanIni wanyaMa au BinaDAmu ujikaza ua husismka pale wafikapo kileleni. Nafikir utApata jibu lako
Mkuu sambamba na hili jiulize ni kwa nini mtu akiwa anakufa, miguu inaanza kuwa ya baridi? hii baridi inaanza taratibu miguuni na kupanda juu.
Tatizo hili usababishwa na israeli mtoa roho. Wakati wewe hutaki kufa israeli akishakwambia nipe roho niondoke nayo unapobisha ndo inabidi akutoe kinguvu. Lakini ukitulia mambo ya kutapatapa huwa hayatokei.
Kiipute ku kyaliki kikolo, gwatile kwiputa kubhasisimikisi? Ungalalamukagha mundumbula jhako, kunyumba jha Tata pingi pa bhujho. U Jesu ajhobhile...!!
Kifo kifikapo lazima utaabike na kuhangaika sana
. Je hali Hii kwa nini hutokea?
Bujibuji
Ukiangalia Mwanzo 1 : 27 ( Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. )
Biblia inapo sema Mungu akaumba Mtu kwa mfano wake , hapa ina maanisha ni Roho ifananayo na Mungu. Na badae ndio akafaya mtu yaani kufanya katika mwili angalia Mwanzo 2 : 7 ( Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. ). Unaona Roho na Mwili ni vitu tofauti, inapotokea Roho inauacha Mwili, ndipo utaanza kuona ishara kama za kutapatapa kuna kua na Mvutano kati ya Roho ( Maana Roho huya shuhudia inayo endana kukutana nayo, hasa kama Mtu hakua anampendeza Mungu maana yake Roho inakua inashuhudia ile adhabu so inakua inang'ang'ania mwili ili isiende kukutana na ile adhabu, huku mwili kwakua ni mwovu hugoma kuruhusu roho kuendelea kuwamo ndani yake, ndipo hapo lengo la shetani hukamilika kuziingiza roho katika adhabu ambayo nae shetani inamuhusu )
Kiipute ku kyaliki kikolo, gwatile kwiputa kubhasisimikisi? Ungalalamukagha mundumbula jhako, kunyumba jha Tata pingi pa bhujho. U Jesu ajhobhile...!!
ladyfurahia ulobwike? Nakutakia kila LA kheri kwa mambo yako yote utakayoyafanyaMkuuu kumbe umehama mkoa uko mkoa wa huu wa intelligence aisee sasa kule nani atakuwa diwani wake?
ladyfurahia ulobwike? Nakutakia kila LA kheri kwa mambo yako yote utakayoyafanya
Kifo kifikapo lazima utaabike na kuhangaika sana
. Je hali Hii kwa nini hutokea?
near death experiencemkuu kwani wew umesha eksipiriensi kuhangaika huko???