Kwanini Bongo movie imedorora??

Kwanini Bongo movie imedorora??

Wameanza kujikita ln na kudorora kumeanza lini? Hata hivyo hiyo sio sab ya msingi kwani diamond amepata mafanikio makubwa sana baada kuifanyia kampeni ccm
Nini diamond amepata mafanikio makubwa baada ya kuipigia kampeni ccm? aiseeeeeeee
 
d9f65a4e23ff12e0025f3f9d55cf906d.jpg

Fnck dem.
Kwa staili hii wacha wanaendelee kupotelea hukohuko.
 
Nini diamond amepata mafanikio makubwa baada ya kuipigia kampeni ccm? aiseeeeeeee
Hesabu tuzo alizopata baada ya uchaguzi anavyovunja rekodi ya followers wa views kwenye you tube channel na sasa anavyouza nyimbo zake kupitia kwenye website yake.
 
Hesabu tuzo alizopata baada ya uchaguzi anavyovunja rekodi ya followers wa views kwenye you tube channel na sasa anavyouza nyimbo zake kupitia kwenye website yake.
Mkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?
 
Mkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?
Nayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasanii
 
Mkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?
Nayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasanii
 
Nayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasanii
Najua unachotaka kutetea kipo hapo mstari wa mwisho kwenye comment yako
 
Hadhira imeshajua tofauti kati ya almasi na vipande vya chupa......kwa namna ambavyo walikuwa wanaendesha tasnia....ilikuwa rahisi kubadhiri kuwa hawatafika mbali......lilikuwa ni suala la muda tu.....na hatimaye yametimia.....

60f2d3614ad84f96fa49479b0913e743.jpg
 
Umeongea yote mkuu
Movie za Tanzania naona zinakosa yafuatayo

1. Uhalisia wa kimazingira.
Hiki ni kivutio kikubwa kama kweli tunataka kupanua soko letu lifikie duniani kote.
Afrika tunafahamika kwa utajiri wa maliasili (Mbuga na wanyamapori) hivi havionekani kwenye movie zetu.
Waafrika tuna ujenzi wetu wa asili (Nyumba za tembe etc) pia hivi havionekani tunaonesha maghorofa tu
Magari tunayotumia (Tunayoita ni ya kifahari) ni models za 2012 tukijitahidi sana, huko duniani wanaonesha za 2017 na zingine wanatabiri futurr
Mavazi waafrika tuna yetu ila daily tunajaribu kuonesha ya kwao ambayo ni provocative lkini sisi tunavaa kujishtukia, kama tumeamua tuende all the way kama wao au tubaki na yetu ya asili ambayo ni mazuri zaidi na kivutio duniani

2. Uhalisia wa kiugizaji
Tunajaribu kuigiza maigizo, msanii anaigiza kuwa anaigiza hawavai uhalisia

3. Maisha binafsi ya wasanii nje ya kamera ni hovyo hovyo tu. Postings zao za Social Media ni upupu ukiangalia maandishi katika Captions zao. Wako vizuri kwenye Ubuyu na kusutana. Wanajitahidi kwenye matusi zaidi

4. Masoko

5. Vifaa
 
Afu kila mmoja akitoa move moja naye anagungua kampun ya kutengeneza move[emoji16] [emoji16]
Badala waunde shirikisho la ungano kadhaa waunde kampuni ili waweze kuwa na nguvu wanunue hata vifaa second hand vipush mzigo wao ufike level hata ya uongo wa kihindi wamekalia umbea na kusutana tuu huko insta. Huku wanaume nao wanazama kujichubua cream nyingine itakayopotea bila kupewa ushirikiano ni Gabo
 
After two month ago.. Hahah
tatizo lao mtu hajaenda kabisa shule ila anakipaji cha uigizaji....sasa badala ya kushirikisha watu wenye taaluma kwenye uandaaji wa filam anataka kila kitu aandae yeye na haya ndo matokeo yake
 
Kuuuubwa kati ya yote ndugu zangu ni UBUNIFU. Piga ua garagaza unafanya biashara lkn ukikosa kitu kinaitwa BUSINESS PSYCHOLOGY (sio lazima usome) biashara haiendi. Huu ndio ukweli wa bongo movie zetu yani tunatazama upuuzi tu.
 
DSTV na AZAM TV wana chanels 24hrs movies freeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

then nipoteze 4000 kwa kununua copy moja

mchina kaleta movie kibaoooo zakumwaga sh 1500 unapata series poa kabisa imetafsiliwa na lufufu wa leo the mtu apoteze sh4000 kwa movie moja ya wapaka poda yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy


Shida sio kwamba movioes za bongo zimeshuka ubora hapana ila tunahitaji mabadiliko madogo tu
 
Bongo movie we walikiwa wauza nyago TU hawako kikazi!

Ova
 
Back
Top Bottom