Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nini diamond amepata mafanikio makubwa baada ya kuipigia kampeni ccm? aiseeeeeeeeWameanza kujikita ln na kudorora kumeanza lini? Hata hivyo hiyo sio sab ya msingi kwani diamond amepata mafanikio makubwa sana baada kuifanyia kampeni ccm
Hesabu tuzo alizopata baada ya uchaguzi anavyovunja rekodi ya followers wa views kwenye you tube channel na sasa anavyouza nyimbo zake kupitia kwenye website yake.Nini diamond amepata mafanikio makubwa baada ya kuipigia kampeni ccm? aiseeeeeeee
Mkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?Hesabu tuzo alizopata baada ya uchaguzi anavyovunja rekodi ya followers wa views kwenye you tube channel na sasa anavyouza nyimbo zake kupitia kwenye website yake.
Nayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasaniiMkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?
Nayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasaniiMkuu hivi ulianza kumfutilia baada ya kuanza kuipigia ccm kampeni?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kikristo hiki, we acha tu [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23]
Fnck dem.
Kwa staili hii wacha wanaendelee kupotelea hukohuko.
Najua unachotaka kutetea kipo hapo mstari wa mwisho kwenye comment yakoNayafahamu maendeleo yake kabla na baada ya kampeni baada ya kampeni ameprosper kuliko kabla kwa maana hiyo siasa haiusiki kushusha mafanikio ya wasanii
Ni kweliNajua unachotaka kutetea kipo hapo mstari wa mwisho kwenye comment yako
Ni tabu Kwa kweli.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kikristo hiki, we acha tu [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23]
Movie za Tanzania naona zinakosa yafuatayo
1. Uhalisia wa kimazingira.
Hiki ni kivutio kikubwa kama kweli tunataka kupanua soko letu lifikie duniani kote.
Afrika tunafahamika kwa utajiri wa maliasili (Mbuga na wanyamapori) hivi havionekani kwenye movie zetu.
Waafrika tuna ujenzi wetu wa asili (Nyumba za tembe etc) pia hivi havionekani tunaonesha maghorofa tu
Magari tunayotumia (Tunayoita ni ya kifahari) ni models za 2012 tukijitahidi sana, huko duniani wanaonesha za 2017 na zingine wanatabiri futurr
Mavazi waafrika tuna yetu ila daily tunajaribu kuonesha ya kwao ambayo ni provocative lkini sisi tunavaa kujishtukia, kama tumeamua tuende all the way kama wao au tubaki na yetu ya asili ambayo ni mazuri zaidi na kivutio duniani
2. Uhalisia wa kiugizaji
Tunajaribu kuigiza maigizo, msanii anaigiza kuwa anaigiza hawavai uhalisia
3. Maisha binafsi ya wasanii nje ya kamera ni hovyo hovyo tu. Postings zao za Social Media ni upupu ukiangalia maandishi katika Captions zao. Wako vizuri kwenye Ubuyu na kusutana. Wanajitahidi kwenye matusi zaidi
4. Masoko
5. Vifaa
Hii ni hatariii[emoji119] [emoji119] [emoji38]After two month ago.. Hahah
tatizo lao mtu hajaenda kabisa shule ila anakipaji cha uigizaji....sasa badala ya kushirikisha watu wenye taaluma kwenye uandaaji wa filam anataka kila kitu aandae yeye na haya ndo matokeo yakeAfter two month ago.. Hahah