Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

Hapo kwa Yesu kukataa kumponya mwanamke mkanaani, si kweli alimponya tena kwa msifu ya kuwa hajaona imani km ya yule mwanamke kisha akamponya
 
Hapo kwa Yesu kukataa kumponya mwanamke mkanaani, si kweli alimponya tena kwa msifu ya kuwa hajaona imani km ya yule mwanamke kisha akamponya
Mwanzo Yesu alipogundua yule mama ni uzao wa CANAAN alikataa kumponya mkuu ila mwanamke alilazimisha na Yesu akasema IMANI YAKO IMEKUPONYA ina maana kama angekata tamaa asingeponywa....

Hivi mtu anaomba aponywe alafu anajibiwa hivi wewe ungetafsiri vp

24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa
 
Mtoto analaanika kwa dhambi ya wazazi ila akitubu hujiondoa katika laana
mtoto kosa lake nilipi !? sasa "" wewe unaweza kwenda kumchukia mtoto wa mtu aliyekutapeli""? na ukawa na kinyongo na huyo mtoto mpka pale ambapo atakuja kukuomba msamaha"" kwa kosa alilofanya baba yake ndio umsamehe ""?nakutoa hicho kinyongo""
 
Kuna vitu haujajifunza unahitaji upate neema ndio ujifunze ipo siku utaelewa
sihitaji kujifunza hayo manadharia..."" kama Mungu wenu anampatia laana mtoto mchanga asiyejua..kitu kisa tu baba yake ni fisadi "" sasa kuna haja gani ya kukaa na kujifunza magundisho Yke "" huoni kuwa na mimi nitaanza kuwa hukumu watu wasiohusika kunitendea ubaya kisa tu "" dada/kaka ..baba/mama yao alinifanyiaga ubaya""
 
Mkuu huyo wala asikuapasue kichwa "" kitu ambacho tunapaswa kukifahamu"" kwanza hizi dini zote mbili zina madhehebu tofauti na yote yameletwa either na wazungu au waarabu "" sisi watu weusi ni watu wa mapokeo tu Bender's fuata upepo...na hayo madhehebu yamekuwa yanajipinga kimaandiko wao kwa wao "" so huwenda ikawa huyo mwanazuoni uliye mquote hadithi yake ikawa na mantiki " lakini kwakuwa anatoka katila dhehebu tofauti na mtoa comment akaona kuwa huyo mwanazuoni nimuongo na hayupo sahihi"" na wakati huo huo Jamii ya dhehebu la huyo mwanazuoni linamuhesabu mwanazuoni wao kuwa ni Moja ya wasomi nguli kwao "" nahayo ndio matatizo yaliyopo katika hzi dini kwanza wao kwa wao wanapingana"" mfano mdogo RAMADHANI hiyo yaja...katika mfungo kuna madhehebu ndani ya huo huo uislam yanakinzana dhidi ya mwezi muandamo..kuna ambao wataanza kufunga kwa madai mwezi umeonekana na kuna ambao watapinga kuonekana kwa mwezi watafunga siku inayofuatia....so hapa uhalali wa mafundisho utategemea na aina ya dhehebu ambalo waumini wanatokea.....
kwahiyo Hawa Jamaa wasikuchanganye maana wao wenyewe tu ni zege tosha.,..full kuchanganyana
 
Luth alipo lala wanawe wa kike bible haikuficha, so. Sioni sababu wafiche kwa hamu, ni speculation potofu.
 
duuuhh""
 
Mtoto analaanika kwa dhambi ya wazazi ila akitubu hujiondoa katika laana
wakati huku duniani " mtoto mchanga anapozaliwa huwa tuna muona kuwa ni innocent mpaka kufikia hatua ya kumuita malaika "" kumbe Mungu anakuwa ameshamlaani "" kisa " mama yake alizini na Mjomba wake. ndio akazaliwa huyo mtoto" "" hahaaaa Mungu huyu noma "" ...kama ndio hivyo hiyo nadharia ya Kuwaita Watoto ni malaika kuanzia leo ife ""maana Kuna baadhi yanayo laana ya Mungu kutokana na ushirika wa dhambi ambao ulitendwa na wazazi wao "" Mungu hana huruma hata na Watoto "" kashindwa hata nasie binaadamu ambao tunatambua kuwa Watoto ni innocent mpaka tumefikia hatua ya kuwaita malaika "" sasa mnaposemaga kuwa Mungu baba ni Mwenye huruma "" hiyo huruma anaitoa wapi "" wakati hapa tunaona kuwa hata binaadamu aliowaumba wamemshinda huruma '''
 
Pia.

Kama Nuhu alimpenda sana Ham mpaka kufikia kushindwa kumlaani kwa mahaba yake kwake..Akaamua kumlaani mjukuu..

Iweje.
Mungu aikubali kuipitisha hiyo laana iliyobebwa na Mahaba/Chuki ya kibinadamu?
hahaaa..haya maswali hawataki kuyajibu "" utasikia wanakwambia kuwa unasoma bibilia kama gazeti"" kwanza mtume wa Mungu anakunywaje pombe "" yaaani hata madhara ya pombe hayajui kweli ""? kumbe ndio maana watu wake hawakuwa wanamuelewa "" kwa sababu walikuwa wanajua kuwa na bi wao ni mlevi ""
 
mtoto kosa lake nilipi !? sasa "" wewe unaweza kwenda kumchukia mtoto wa mtu aliyekutapeli""? na ukawa na kinyongo na huyo mtoto mpka pale ambapo atakuja kukuomba msamaha"" kwa kosa alilofanya baba yake ndio umsamehe ""?nakutoa hicho kinyongo""
Mbona baraka au utajiri mtoto anarith, basi hivyo hivyo na laana pia.
 
Aliye ona uchi ni Ham baba wa canaani

5 mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Kutoka 20 :5

Swali fikirishi, hii laana ya kizazi cha tatu mpaka cha nne hutolewa na Mungu ama yoyote?,
 
Mbona baraka au utajiri mtoto anarith, basi hivyo hivyo na laana pia.
kwahiyo huyo "" Mungu mmeanza kumfananisha utendaji wake na wakibinaadamu MAKUBWA !!!"" sasa""? kwahiyo nikikwambia mbona binaadamu nae huwa anazini " kwa hiyo Mungu nae anazini nitakuwa nimekingiuka au ""!?."" sipingi kuhusu mtoto kurithi laana Bali hoja yangu ""nikwamba..huyo anayeitoa hiyo laana nimuonevu "" maana anampa laana kiumbe ambaye hajahusika katika utendaji ulisababisha hiyo laana """
 
Luth alipo lala wanawe wa kike bible haikuficha, so. Sioni sababu wafiche kwa hamu, ni speculation potofu.
Okay upo sahihi kwa mtazamo wako ila inakuwa haijibu swali letu kwamba kwanini laana iende kwa canaan kma kwenye hilo kosa hausiki popote.... Tukijua sababu basi nadharia hizi zinakuwa hazina maana
 
Okay upo sahihi kwa mtazamo wako ila inakuwa haijibu swali letu kwamba kwanini laana iende kwa canaan kma kwenye hilo kosa hausiki popote.... Tukijua sababu basi nadharia hizi zinakuwa hazina maana
Ndio sijajibu why canaan, ila nimeondoa ule mtazamo kwamba Ham alilala na mke wa baba yake.
Kuhusu why canaan nimeona tayari limejibiwa na wadau humu vizuri tu. Mfano mwingine ni mfalme suleiman ndiye aliye rithi kiti cha daudi baba yake japo yeye alikuwa mdogo, wakati kaka zake walikuwepo. mambo ya malango mkuu.
 
Hahahahaa hayo majibu umeyaona mkuu sipati picha akiyatumia JIWE.... πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
si " vyema " kukitwaa cha kula cha Watoto " na kuwatupia mbwa ""

hahaaa "" kweli jiwe akiyaona hayo majibu patakuwa hapatoshi""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…