zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
- #141
.
Najaribu kuwaza tu possibility za nadharia hii kuwezekana kwenye context hiyo ya biblia
Hahahaha mkuu Najaribu kuwaza tu huenda alikuwa anawaambia kwa kelele kuwa "shem na japhet huu mzigo wa mama ni mtamu sana" huku akiwa bado yupo naye kitandani ila kina shem wakiwa nje ya hema waliweza kusikia na wakakasirika wakaingia wakamtoa HAM asiendelee kumlala mama yao hivyo kwa kuwa hawakutaka na wenyewe kumlala mama yao bali wakamzuia Ham ina maana WALIFUNIKA UCHI WA BABA YAOMwanzo 9
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
Inapingana na hiyo Dhana ya kumzuia asimzini
Najaribu kuwaza tu possibility za nadharia hii kuwezekana kwenye context hiyo ya biblia