johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hivi kichwani kwako umejaza makamasi au makohozi wewe? Hofu ya kitu kisichokuwepo?Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Mioyoni 😂😂😂Hivi kichwani kwako umejaza makamasi au makohozi wewe? Hofu ya kitu kisichokuwepo?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kuna mbwiga mmoja hajui kama ipo!UP kinaongozwa na SLOW SLOW na BAR-SHE-LOU?
Kwani Chadema ni nini?UP ni chama au genge fulani hivi?
Mimi nitajiunga Umoja PartyUkifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Umoja Party ndiyo chama gani? Chama cha kufikirika ndiyo kiogopwe, hao ni Sukuma gang wala si chama na hiyo kuogopwa wanaitengeneza kama njia ya kijitambulisha na kujitutumua katika medani za kisiasa ambazo kiuhalisia bado hawajawa kwenye siasa bali bado ni wahuni wasiotambulika.Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Nani mwenyekiti wa UP?Mimi nitajiunga Umoja Party
CCM inapaswa kuelewa kuwa siku za kuwaburuza Watanzania zimeisha
Hata mimi sijamfahamu.Nani mwenyekiti wa UP?
Nani kakwambia?Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
🤣🤣Hofu gan naww, ushaanza kuwazaja upepo raia humu!!