NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
UP
Ni chama cha falsafa za jpm anaekubalika na wanyonge na mwiba KWA mafisadi na matajiri JANJA janja!
Ni chama cha system hicho Hata waliopiga picha kuitambulisha nembo ya chama ni wakakamavu haswaa sio Raia pekee!!
Kinaweza pewa usajili Baada ya Katiba mpyae na nadhani kina Pole pole Ndio wadau wakubwa na Pole pole anaupiga jeramba anafanya siasa akiwa malawi Ili asife kisiasa!inaweza ikawa ni mpango wa system KWA humphrey kutopoa kama ugali yaani aendeleee kuwa wa Moto daima!!
Tusubiri!
Ni chama cha falsafa za jpm anaekubalika na wanyonge na mwiba KWA mafisadi na matajiri JANJA janja!
Ni chama cha system hicho Hata waliopiga picha kuitambulisha nembo ya chama ni wakakamavu haswaa sio Raia pekee!!
Kinaweza pewa usajili Baada ya Katiba mpyae na nadhani kina Pole pole Ndio wadau wakubwa na Pole pole anaupiga jeramba anafanya siasa akiwa malawi Ili asife kisiasa!inaweza ikawa ni mpango wa system KWA humphrey kutopoa kama ugali yaani aendeleee kuwa wa Moto daima!!
Tusubiri!