mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Falsafa za Mwamba zinatisha popote pale ndani ya Bara hili si TZ tu !!Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!