Kwanini CCM inaiogopa Umoja Party na hawawaogopi CHADEMA wala ACT Wazalendo?

Kwanini CCM inaiogopa Umoja Party na hawawaogopi CHADEMA wala ACT Wazalendo?

Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Falsafa za Mwamba zinatisha popote pale ndani ya Bara hili si TZ tu !!
 
HILO NI GENGE LILILOKUWA LIKITAKA KUVUNJA KATIBA NA HATA KUFANYA CHOCHOTE KILE ALIMRADI LIPATE MADARAKA, NI HATARI KWELIKWELI INFACTS NI KWA HURUMA TU ZA RAIS WETU, LAKINI GENGE HILO NI "WAHAINI" HAWAKUTAKIWA HATA KUWEPO URAIANI.
Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.

Ila pamoja kwamba alikua Bado na Uwezo wa kutoa maelekezo, aliamua kuwasamehee nyinyie Msoga Gang .
 
Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.

Ila pamoja kwamba alikua Bado na Uwezo wa kutoa maelekezo, aliamua kuwasamehee nyinyie Msoga Gang .
Duh 🙄 !!
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Najua kwanini wanakiogopa zaidi,umoja party,ni kwa kuwa ni chama cha kifamilia/kiukoo na kikabila😂
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Wanajuwa what is next vipo vyama kama vyama na Kuna vyama vya majasusi. Kwahiyo wanajuwa ukweli end
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Kwani Hadi Leo hii hamjasajiliwa? Ccm mnawezaje kuogopa kinyago?
 
HILO NI GENGE LILILOKUWA LIKITAKA KUVUNJA KATIBA NA HATA KUFANYA CHOCHOTE KILE ALIMRADI LIPATE MADARAKA, NI HATARI KWELIKWELI INFACTS NI KWA HURUMA TU ZA RAIS WETU, LAKINI GENGE HILO NI "WAHAINI" HAWAKUTAKIWA HATA KUWEPO URAIANI.
Shughuli ishaanza.

Kwa nini hawwkushtakiwa kwa uhaini?
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Ni chama cha majambazi na magaidi.. Sabaya, Makonda, Odunga na muasisi wa itikadi hiyo Magufuli
Ni kama Ulaya wanavyoogopa vyama vyenye itikadi za Unazi (Nazism) ya Hitler
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Umoja Party ndio pimbi gani?
 
Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.

Ila pamoja kwamba alikua Bado na Uwezo wa kutoa maelekezo, aliamua kuwasamehee nyinyie Msoga Gang .
Tundu Lissu ndio alimuua? Maana ndio alikuwa mbaya wake, au ni Mbowe?
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!
Unazungumzia Chama ambacho hakipo na hakijasajiliwa
 
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo

Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe

Mungu ni Mwema wakati wore!

Jaman? Wamakupigia kukwambia?
 
Back
Top Bottom