Falsafa za Mwamba zinatisha popote pale ndani ya Bara hili si TZ tu !!Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.HILO NI GENGE LILILOKUWA LIKITAKA KUVUNJA KATIBA NA HATA KUFANYA CHOCHOTE KILE ALIMRADI LIPATE MADARAKA, NI HATARI KWELIKWELI INFACTS NI KWA HURUMA TU ZA RAIS WETU, LAKINI GENGE HILO NI "WAHAINI" HAWAKUTAKIWA HATA KUWEPO URAIANI.
Duh 🙄 !!Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.
Ila pamoja kwamba alikua Bado na Uwezo wa kutoa maelekezo, aliamua kuwasamehee nyinyie Msoga Gang .
Najua kwanini wanakiogopa zaidi,umoja party,ni kwa kuwa ni chama cha kifamilia/kiukoo na kikabila😂Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Wanajuwa what is next vipo vyama kama vyama na Kuna vyama vya majasusi. Kwahiyo wanajuwa ukweli endUkifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Babu, mkwe na Wajukuu 🤩🤩Najua kwanini wanakiogopa zaidi,umoja party,ni kwa kuwa ni chama cha kifamilia/kiukoo na kikabila😂
Kwani Hadi Leo hii hamjasajiliwa? Ccm mnawezaje kuogopa kinyago?Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Mashabiki wa Ukraine 🇺🇦 utawajua tu kwa akili zao kisoda.HILO NI GENGE LILILOKUWA LIKITAKA KUVUNJA KATIBA NA HATA KUFANYA CHOCHOTE KILE ALIMRADI LIPATE MADARAKA, NI HATARI KWELIKWELI INFACTS NI KWA HURUMA TU ZA RAIS WETU, LAKINI GENGE HILO NI "WAHAINI" HAWAKUTAKIWA HATA KUWEPO URAIANI.
Kwani Lowasa alisajaliwa?Kwani Hadi Leo hii hamjasajiliwa? Ccm mnawezaje kuogopa kinyago?
Shughuli ishaanza.HILO NI GENGE LILILOKUWA LIKITAKA KUVUNJA KATIBA NA HATA KUFANYA CHOCHOTE KILE ALIMRADI LIPATE MADARAKA, NI HATARI KWELIKWELI INFACTS NI KWA HURUMA TU ZA RAIS WETU, LAKINI GENGE HILO NI "WAHAINI" HAWAKUTAKIWA HATA KUWEPO URAIANI.
Ni chama cha majambazi na magaidi.. Sabaya, Makonda, Odunga na muasisi wa itikadi hiyo MagufuliUkifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Hamieni TLP, hiki nacho si kinaunga mkono legasi?Sidhani kama watapewa usajili wa kudumu.
Umoja Party ndio pimbi gani?Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Tundu Lissu ndio alimuua? Maana ndio alikuwa mbaya wake, au ni Mbowe?Wakati JPM anaanza Kuugua, aliugua huku kichwani kwake akiwajua kabisa Wabaya wake , Mzee alijua kabisa nani ameamua kumuondoa !!.
Ila pamoja kwamba alikua Bado na Uwezo wa kutoa maelekezo, aliamua kuwasamehee nyinyie Msoga Gang .
Sihami mkuu nipo sana.Hamieni TLP, hiki nacho si kinaunga mkono legasi?
wewe mdudu unajitutumua huku mtandaoni wakati hao unaowasema ccm huko hawalali kisa huyo marehemu, moja haikai mbili haikaiCCM ni chama kikubwa sana kuogopa mizimu na misukule ya kisukuma
Unazungumzia Chama ambacho hakipo na hakijasajiliwaUkifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Wewe ndio unayesema hakipoUnazungumzia Chama ambacho hakipo na hakijasajiliwa
Ukifuatilia kwa making utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama Chadema na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!