NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
System?!! 🙄🙄UP
Ni chama cha falsafa za jpm anaekubalika na wanyonge na mwiba KWA mafisadi na matajiri JANJA janja!
Ni chama cha system hicho Hata waliopiga picha kuitambulisha nembo ya chama ni wakakamavu haswaa sio Raia pekee!!
Kinaweza pewa usajili Baada ya Katiba mpyae na nadhani kina Pole pole Ndio wadau wakubwa na Pole pole anaupiga jeramba anafanya siasa akiwa malawi Ili asife kisiasa!inaweza ikawa ni mpango wa system KWA humphrey kutopoa kama ugali yaani aendeleee kuwa wa Moto daima!!
Tusubiri!
Sidhani kama watapewa usajili wa kudumu.
Sio hao kabisa bali ni wale wanaomsifia kupita kiasi mpaka mwenyewe anajiuliza sometimes hivi kulikoni !! Hao wanaomkosoa wanampenda wanamuonesha njia ya kupita !!"Mzee mmoja wa busara alining'ata sikio na kuniambia 'maadui zako wako ndani ya CCM na si upinzani'", Rais Samia. Hao maadui zake ndani CCM ndio Umoja Party aka Sukuma Gang.
Kwanza ipo hiyo umoja yenyewe?UP ni chama au genge fulani hivi?
Hiyo ni kikulacho kii nguoni mwako, wamejificha ndani na ndio maana ikipatikana Katiba mpya itakuwa suluhisho la yote maana ujanja ujanja wote hautakuwa na nafasi.Ukifuatilia kwa makini utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama CHADEMA na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Acha ukabila na ujinga. Kabila linaingiaje?CCM ni chama kikubwa sana kuogopa mizimu na misukule ya kisukuma
Siwakisajili maana mda wanasubiliHivi kichwani kwako umejaza makamasi au makohozi wewe? Hofu ya kitu kisichokuwepo?
Sisiemu ni mafiii [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Mimi nitajiunga Umoja Party
CCM inapaswa kuelewa kuwa siku za kuwaburuza Watanzania zimeisha