Kwanini CHADEMA hampendi ACT-Wazalendo ifanye siasa zake?

Kwanini CHADEMA hampendi ACT-Wazalendo ifanye siasa zake?

NTIGAHELA

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
365
Reaction score
257
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
 
Unalazimisha ujinga wako ueleweke kwa kuihusisha CHADEMA kwenye mada yako

Unachotakiwa kufahamu tu ni kuwa CHADEMA wako level ya juu sana kifikra ndio maana kwa sasa wako busy na issue za msingi kama kudai Katiba mpya na sio kupambana na vyama vidogo vidogo kifikra kama CCM na mapandikizi yake.
 
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
Dogo umeumia mbona wenye chadema yao wamerelax wanasonga mbele

Tatizo lenu act ni kujifanya mke mpendwa wa ccm, alafu mnaleta shobo kwa baba yenu cdm

Kiongozi mkuu wenu si ni mtoto mtukutu wa cdm?
Cdm ni baba lao kubali tu yaisha
 
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
Wasiopenda chadema au ccm
 
Chadema wanaweza kumzuia Zitto kiongozi wenu mkuu kufanya kazi zake?
 
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
Kosa kubwa kabisa la Zitto ni kukosana na Mbowe halafu anaonekana anaendelea kufanikiww kwenye siasa.

Watu wanaokosana na Mbowe huwa wanakufa au wanapotea kisiasa siyo kuendelea ku-shine.

Mfano kina Said Arfi, Chacha Wangwe, n.k.

Akiendelea kushine asifikiri misukule wa Mbowe watashusha silaha chini.

Yaani hii ni sawa na ukosane na Diamond halafu uendelee kushine ukafikiri misukule wa Domo watashusha silaha chini. Never.

Anyway, mimi yangu macho maana pamoja na kutukanwa kila siku lakini Zitto hachoki kujipendekeza kwa Mbowe.
 
Kosa kubwa kabisa la Zitto ni kukosana na Mbowe halafu anaonekana anaendelea kufanikiww kwenye siasa.

Watu wanaokosana na Mbowe huwa wanakufa au wanapotea kisiasa siyo kuendelea ku-shine.

Mfano kina Said Arfi, Chacha Wangwe, n.k.

Akiendelea kushine asifikiri misukule wa Mbowe watashusha silaha chini.

Yaani hii ni sawa na ukosane na Diamond halafu uendelee kushine ukafikiri misukule wa Domo watashusha silaha chini. Never.

Anyway, mimi yangu macho maana pamoja na kutukanwa kila siku lakini Zitto hachoki kujipendekeza kwa Mbowe.
Shida Yako ni mnaa.
 
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
 
Viongozi wa Chadema wako busy kupambana na ACT badala ya issues za kitaifa:
1. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kitako na kuchambua bajeti ya nchi, na kutoa recommendations
2. Hivi ni lini mara ya mwisho wamekaa kuchambua ripoti za CAG?
3. Sijawaona wakikaa chini na kuchambua ripoti za benki kuu na muelekeo wa uchumi wa nchi

Sasa hivi wako busy kumshambulia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Wamesahau kuwa:
1. Chama chao ndo kinaogoza kwa viongozi wao kuunga mkono juhudi na kwenda CCM

Chadema itueleze, kama viongozi wake siyo mamluki
inakuwaje Makatibu wake wakuu wawili wameunga mkono siasa za CCM huku Wabunge wake lukuki na wajumbe wa kamati kuu wakiunga mkono juhudi?

1. Yuko wapi Dr Slaa, Dr Mashinji, Nassari, Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, Katambi
2. Ilikuwaje kwa Katambi mwenyekiti wao wa BAVICHA, Halima Mdee mwenyekiti wa BAWACHA, Matiko, Bulaya, Hanje?

Kwa data hizo, nani CCM zaidi yao?

By the way, Nyie ndo mlimuita mzee Lowasa kila aina ya jina baya halafu mkatoka hapo mkamfanya yeye kuwa ndiye mgombea wa chama chenu mwaka 2015-Sasa hapo mtaaminikaje?

Mwacheni kiongozi wa Chama cha ACT ndugu Zitto afanye kazi yake.
Chadema ni wafa maji!
 
Shida Yako ni mnaa.
Haya mateka wa mbowe, Jenerali Ulimwengu nayr kanunuliwa huku🤣🤣🤣

IMG_20211226_130609.jpg
 
Kosa kubwa kabisa la Zitto ni kukosana na Mbowe halafu anaonekana anaendelea kufanikiww kwenye siasa.

Watu wanaokosana na Mbowe huwa wanakufa au wanapotea kisiasa siyo kuendelea ku-shine.

Mfano kina Said Arfi, Chacha Wangwe, n.k.

Akiendelea kushine asifikiri misukule wa Mbowe watashusha silaha chini.

Yaani hii ni sawa na ukosane na Diamond halafu uendelee kushine ukafikiri misukule wa Domo watashusha silaha chini. Never.

Anyway, mimi yangu macho maana pamoja na kutukanwa kila siku lakini Zitto hachoki kujipendekeza kwa Mbowe.

Nimecheka kwa nguvu kinoma eti Zito anashine. Nimewauliza viongozi karibu wote wa ACT watoe matokeo ya chaguzi za marudio walizoshiriki juzi, ili tuone walivyopanda hadi wanaonewa wivu naona wakapiga kimya! Nikaona isiwe tabu nikataka watoe tu matokea ya jumla bila kujali kama walishinda ama hata kuona umma ulivyohamsika kuhusu ushiriki wao kwenye chaguzi hizo, napo pia wakapiga kimya! Nafasi pekee waliyopata ushindi ni huko Pemba, tena baada ya kuporwa hicho kiti na kutishia kujitoa SUK ndio uchaguzi ukarudiwa wakaachiwa. Huko Pemba hao wapemba hata wangekuwa TLP ya Mrema au UDP ya Cheyo hawaitaki CCM na wala sio nguvu ya Zito.

Sasa ili ww ufanikishe hii nadharia yako kuwa Zito anashine na ACT, tuwekee matokeo yao kwenye chaguzi za marudio ambazo hawakuibiwa, na idadi ya wapiga iliyojitokeza kupiga kura. Au kushine ni kushiriki mikutano ya CCM. Kama ni kushirikiana na CCM/serekali ukiacha wakati wa Magufuli, Zito na ACT wamekuwa wakishine muda wote.
 
Nimecheka kwa nguvu kinoma eti Zito anashine. Nimewauliza viongozi karibu wote wa ACT watoe matokeo ya chaguzi za marudio walizoshiriki juzi, ili tuone walivyopanda hadi wanaonewa wivu naona wakapiga kimya! Nikaona isiwe tabu nikataka watoe tu matokea ya jumla bila kujali kama walishinda ama hata kuona umma ulivyohamsika kuhusu ushiriki wao kwenye chaguzi hizo, napo pia wakapiga kimya! Nafasi pekee waliyopata ushindi ni huko Pemba, tena baada ya kuporwa hicho kiti na kutishia kujitoa SUK ndio uchaguzi ukarudiwa wakaachiwa. Huko Pemba hao wapemba hata wangekuwa TLP ya Mrema au UDP ya Cheyo hawaitaki CCM na wala sio nguvu ya Zito.

Sasa ili ww ufanikishe hii nadharia yako kuwa Zito anashine na ACT, tuwekee matokeo yao kwenye chaguzi za marudio ambazo hawakuibiwa, na idadi ya wapiga iliyojitokeza kupiga kura. Au kushine ni kushiriki mikutano ya CCM. Kama ni kushirikiana na CCM/serekali ukiacha wakati wa Magufuli, Zito na ACT wamekuwa wakishine muda wote.
Sasa vita na wivu vya kazi gani kwa mtu asiyekuwa na effect yoyote ???
 
Sasa vita na wivu vya kazi gani kwa mtu asiyekuwa na effect yoyote ???

Muulize aliyeleta uzi huu wa CDM kugomea ACT kufanya siasa, na ww ukakazia. Hivyo nikataka ww uweke hiyo rekodi ya wao kushine hadi waonewe wivu. Maana nguvu pekee ya ACT ni kwa hao wapemba, sehemu ambayo CDM haijawahi kupata chochote. Kumbe hata ww huna taarifa yoyote ya wao kushine zaidi ya kuwa bendera fuata upepo.
 
Muulize aliyeleta uzi huu wa CDM kugomea ACT kufanya siasa, na ww ukakazia. Hivyo nikataka ww uweke hiyo rekodi ya wao kushine hadi waonewe wivu. Maana nguvu pekee ya ACT ni kwa hao wapemba, sehemu ambayo CDM haijawahi kupata chochote. Kumbe hata ww huna taarifa yoyote ya wao kushine zaidi ya kuwa bendera fuata upepo.
👇👇👇

IMG_20211226_134403.jpg
 
Back
Top Bottom