Kwanini CHADEMA hampendi ACT-Wazalendo ifanye siasa zake?

MUkya,

Kamsaidie makengeza kubeba mtondo aliomwaga jana usiku.

Huwa nacheka sana nikipiga ngumi ya jicho, na kuona bendera fuata upepo wa aina yako akitapika Makande yaliyochacha. Na uzuri wangu bendera fuata upepo wote huwa nawamudu. Hapo tayari kisimi nimeshakirudishia ndani ya housing, hivyo lazima ukae kwa kutulia.
 
Kwani CHADEMA Ina Dola mpaka imzuie Zitto?
Kama umetumwa,SEMA
 
Wakae wap sasa 😂😂😂maan kila wakijaribu kukaa na kuweka mikakati yao, geshi lenye intelijensia kali lishafika na kuzuia hicho kikao au mkuatano
 
Act sio Chama cha Upinzani ni TAWI la CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…