Kwanini Chadema huwa hawawezi kuuchambua Uchumi wa Tanzania Kwa Takwimu na badala yake wamejikita Kwenye Tume Huru ya uchaguzi tu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naelewa Chadema haina Watu waliobobea kwenye Uchumi lakini Mazingira ya Dunia ya Leo yameruhusu kila Mtu kuuelewa Uchumi locally, continentally and Globally

Ndio sababu Waziri wa Uchumi siyo mchumi hata mkuu wa Ubinafsishaji David Kafulila siyo mchumi lakini wanatimiza majukumu yao vizuri tu

Sasa kwanini Chadema hampendi kuchambua Uchumi hata kwa kumtumia yule Mhasibu CPA Ruge?

Mnaogopa nini?

Nimekaa pale 🐼
 
Unategemea makubwa sana kutoka kwa "controlled opposition"; inahitaji matumaini na kujitoa ufahamu kuamini dhana ya "upinzani wa kweli" nchini hapa na bara hili kwa ujumla

Chadema haipambanii "wananchi" (hatukidhi vigezo vya kujiita wananchi kwa ujinga wetu), Chadema inapambana kupata nafasi ya kuongoza zizi la mifano ya wananchi

Chadema ichambue uchumi muanze kuukumbuka ujamaa? Why would they do that ? Waongee uchumi muanze kuhoji nje ya ruzuku kutoka serikalini pesa nyingine zinatoka kwa kina nani? (Hapa lazima upate kiungulia)
 
Hizo takwimu watasikiliza na kuelewa wachache.
Ukitaka mtanzania asikuelewa tumia namba katika kueleza mambo.
Ningekuwa mwanasiasa nataka kuwaeleza jambo watanzania mfano upigaji labda wa bilioni 8.
Ningetumua mifano inayoendana na nlipo. Kama wana shida ya maji ningesema wamepiga bilioni nane fedha ambayo ingeweza kujenga visima vya maji 100 mkaondokana na tatizo la maji.
Kama shuda ni barabara ningesema fedha ambayo ingeweza kujenga barabra ya lami toka kijiji fulani hadi fulani.
Kwanza takwimu ni watanzania wachache ambao huwa wanaziverify ndiyo maana january makamba aliwahi soma report yenye kutofautina na takwimu halisi.
 
Waafrika hatupendi vitu vigumu vigumu sijui hata kwanini, Kuna lecture wangu aliwahi niambia ana wasiwasi wastani wa IQ kwa population yetu ni mdogo ukilinganisha na jamii za mabara mengine
 
wanahisi hitaji kubwa la wananchi ni wao kupa ta vyeo, basi.
 
 
Hata saa mbovu Mara moja moja inakuwa sahihi, ndio Mara kwanza naona unaandika pointi
 
Uchumi wa Tanzania unauchambuaje kwa kuchambua kipato cha mtu mmoja mmoja kwa mfumo wa kujumlisha idadi ya pesa zilizoko kwenye mabenki ambazo wengine siyozakwao na kugawanya kwa idadi ya watanzania wote, kikikiki

Swali fikirishi je serikali yetu Ina mfumo wa uchumi wa/unao inua kipato cha mtu mmoja mmoja?, ama mfumo wa uchumi ambao hauwezi kuchezewa na wanasiasa, (autocratic leadership in politics)

Do we have National economy and social development strategies of an existing government or a system of an economy which can not be tempered by autocratic leadership in politics
 
Umenikumbusha tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia
 
Waongee uchumi muanze kuhoji nje ya ruzuku kutoka serikalini pesa nyingine zinatoka kwa kina nani? (Hapa lazima upate kiungulia)
Huna akili, kwahiyo serikali ikikopa kwa hao wazungu ni halali ila siku ukisikia chadema inafadhiliwa na wazungu inageuka haramu? Embicile
 
Upande wa takwimu mtafute kafulila
 
One at time. You cannot eat the cake and still have. There is no way you can make your self better off without making another worse off ( pareto optimality)

Hivyo chadema wanafuata principle hizo. Understood?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…