johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naelewa Chadema haina Watu waliobobea kwenye Uchumi lakini Mazingira ya Dunia ya Leo yameruhusu kila Mtu kuuelewa Uchumi locally, continentally and Globally
Ndio sababu Waziri wa Uchumi siyo mchumi hata mkuu wa Ubinafsishaji David Kafulila siyo mchumi lakini wanatimiza majukumu yao vizuri tu
Sasa kwanini Chadema hampendi kuchambua Uchumi hata kwa kumtumia yule Mhasibu CPA Ruge?
Mnaogopa nini?
Nimekaa pale 🐼
Ndio sababu Waziri wa Uchumi siyo mchumi hata mkuu wa Ubinafsishaji David Kafulila siyo mchumi lakini wanatimiza majukumu yao vizuri tu
Sasa kwanini Chadema hampendi kuchambua Uchumi hata kwa kumtumia yule Mhasibu CPA Ruge?
Mnaogopa nini?
Nimekaa pale 🐼
