Huyu hatakiwi kupumzika kama ingekuwa inawezekana tungekuwa tunapiga ngoma kwenye kaburi lake ili mradi asitulie huko chini.Mnamkosea sana mwendazake! Kutwa kucha mnalia lia, au mnapinga ile sala inayosema raha ya milele umpe ee Bwana?! Mnamsumbua, mwacheni apumzike!
Najua sana, nimemziaki huyu anayemwabudu tu! Wengine tunaruhusiwa kupiga ngoma!Huyu hatakiwi kupumzika kama ingekuwa inawezekana tungekuwa tunapiga ngoma kwenye kaburi lake ili mradi asitulie huko chini.
Bakini na hizo kura zenu hakuna mtu anazihitaji.Wasukuma tunawachora tu,,mtakuja kutuomba kura....mje na hizo Sera kama mtapata kura
Nafasi za wachaga chadema unaziona au hizo huzionagiNi vema na wewe unae kanusha utuambie nafasi za kuteuliwa wasukuma wapo wangapi ili wasisingiziwe, kwa hiyo wewe huna tofauti na anaye walalamikia nyie sukuma gang
Nilivyoangalia jina GAMBINO nikakumbuka GWAMBINA!!Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.
Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.
Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.
Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.
Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.
Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.
Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?
Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?
CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Sasa Mkuu hapa hata siwaelewi. Mwanza hakubomoa nyumba za watu matokeo yake barabara na Uwanja havikupanuliwa ipaswavyo. Dar wamebomoa nyumba za watu walojenga kinyume cha Sheria, barabara imepanukiwa leo hakuna tena msongamano wa magari kwa miaka 10 hadi 20 ijayo.Yani akabomolea watu wa kimara bila fidia Ila alipofika mwanza kwenye ubomoaji kupisha ujenzi/upanuzi wa barabara ya furahisha pamoja na upanuzi wa airport akasema msiwasumbue hao no wapiga kura wangu. Sijui kama unaona hii double standard???
Kampeni za Magufuli alisema wazi yeye sii Mwanasiasa, Maendeleo hayana Chama, hayana Kabila wala dini.
Duuuh, Usinichekeshe miye...Hivi nyie watu mnamuonaje Tundu Lissu? Hakuna mshamba na tapeli kama yeye in fact niseme hivi hata Mama Samia tumeliwa! Mule mule Mbwa kuitwa Jibwa..Unless kama unazungumza kishabiki. Magufuli hakuwa na uwezo wa kumshinda Lissu kama uwanja ungekuwa sawa.
Huko Chato kwenyewe alilazimika kukodi watu wa kumpiga mawe Lissu.
Alifunga vyombo vyote vya habari visimtangaze Lissu lakini aliteswa mpaka kuamua kupora uchaguzi ingekuwaje kama Lissu angepata airtime walau theluthi ya airtime aliyopata Magufuli ?
Ebu wataje? Maana kusema rahisi sana najua utaishia Bashite!!Wala si uongo. Sema baada ya kelele alipunguza kidogo. Mfano angalia uteuzi wake wa wakuu wa mikoa wa kwanza 2016 alioanza nao . Utaona kwa mikoa hii michache home boys walikuwa wangapi .@Gambino
Siyo wewe tu hata bro Mayala hakunufaika kabisa lbd ile ya... kwetu ni njaa basi,kama nayo ni manufaa.Huo ukabila wa Magufuli mbona mimi sikunufaika nao?
Inaonekana bado uko msibani ukiomboleza.Ukabila ni jambo lililo wazi,Watanzania wameliona na wanajua Mwendazake alikuwa mkabila labda sema unawashwa kutamka na kuandikaCHADEMANimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.
Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.
Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.
Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.
Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.
Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.
Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?
Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?
CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Huu ndio uzandiki wa mitandaoniNimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.
Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.
Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.
Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.
Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.
Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.
Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?
Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?
CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Watanzania hao ni kina nani? Ulikutana lini na watanzania wakakwambia wameliona hilo?Inaonekana bado uko msibani ukiomboleza.Ukabila ni jambo lililo wazi,Watanzania wameliona na wanajua Mwendazake alikuwa mkabila labda sema unawashwa kutamka na kuandikaCHADEMA
Ukabila huo ni ipi?Inaonekana bado uko msibani ukiomboleza.Ukabila ni jambo lililo wazi,Watanzania wameliona na wanajua Mwendazake alikuwa mkabila labda sema unawashwa kutamka na kuandikaCHADEMA
Wewe ni mpumbavu nyie chadema endeleeni kuchochea ukabilaWasukuma pamoja na wingi wao hawana effect kwani wengi ni wajinga na primitive sana hata aliyekufa juzi alifanya ujinga wa ajabu hata katika wadhifa wake mkubwa bado alikuwa mjinga mno. Angalia alivyozikwa haikuwezekana kumshusha kaburini hivi hivi live mpaka azikwe usiku na matunguri.
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.
Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.
Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.
Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.
Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.
Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.
Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?
Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?
CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Upinge jambo kwa data wakati jambo limeletwa bila data! That is fallacy!Hilo suala lipo wazi kama unakuja kupinga njoo na hoja zenye data kusuport pingamizi lako