Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

..ili ubaguzi uwe systemic inabidi kwanza ulelewe kidogo kidogo kama inavyotokea sasa hivi.

..udini na ukabila tunavyoulea sasa hivi huko mbele ya safari utakuja kuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu
Mkuu hili ni tatizo , matokeo yake yameanza kuonekana sasa. Huu umoja wa ''CCM'' uta ambukiza nchi nzima

Wakati wa Nyerere na waliotangulia ilikuwa ni vigumu kuona ukabila kama mfumo

Mkuu Mkandara aelewe kuwa ili ukabila uwe 'systemic' lazima ujengewe mazingira, upaliliwe na ukue.

Hapa ndipo Mwendazake alipolitia Taifa katika tatizo. Amejenga mazingira ya ukabila na sasa yanashamiri

Kiongozi wa nchi anaposimama na kusema '' watu wa eneo fulani watusubiri' tayari anajenga ukabila mioyoni mwa wasioelewa. Halafu anaporudi ofisini na kuteua kwa mfano ule ule anashadidia ukabila.
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Bw. Gambino ukiachili mbali wewe mwenyewe umekuja na hoja ya mfano wa takwimu kwa kupinga tuhuma dhidi MZANDIKI marehem MAGUFULI bila ya kutewekea takwimu halisi ili kuvunja hoja ya tuhuma hizo hivyo nadhani unazidi kuukoleza moto wa tuhuma hizo

KIMARA: Walivunjiwa Nyumba zao kwa sababu walijenga kiholela na hakuna fidia kwa sababu tunasimamia sheria.

MWANZA: Walinusurika kuvunjiwa kwa sababu MAGUFULI alizuia kwa madai kuwa wale ni wapiga kura wake.

Naomba kukuuliza swali, MAGUFULI aliwezaje kuwatofautisha watu wa KIMARA na watu wa MWANZA kwa kura walizompigia???

MAGUFULI hakuwa tu MKABILA bali pia alikua MBAGUZI wa KIJAMII maana KIMARA sio eneo la kabila fulani kwa kifupi yule mzee MUNGU kamchukua mapema ili kuinusuru nchi, kwa sababu alikua anapanda sumu mbaya sana miongoni mwa jamii ya watanzania

Alikua anajenga misingi ya CHUKI, UHASAMA, VISASI, NONGWA, UBAGUZI, UPENDELEO, UBINAFSI, UDINI, DHARAU, UBADHIRIFU, UONEVU NA UMUNGU MTU
 
Bw. Gambino ukiachili mbali wewe mwenyewe umekuja na hoja ya mfano wa takwimu kwa kupinga tuhuma dhidi MZANDIKI marehem MAGUFULI bila ya kutewekea takwimu halisi ili kuvunja hoja ya tuhuma hizo hivyo nadhani unazidi kuukoleza moto wa tuhuma hizo

KIMARA: Walivunjiwa Nyumba zao kwa sababu walijenga kiholela na hakuna fidia kwa sababu tunasimamia sheria.

MWANZA: Walinusurika kuvunjiwa kwa sababu MAGUFULI alizuia kwa madai kuwa wale ni wapiga kura wake.

Naomba kukuuliza swali, MAGUFULI aliwezaje kuwatofautisha watu wa KIMARA na watu wa MWANZA kwa kura walizompigia???

MAGUFULI hakuwa tu MKABILA bali pia alikua MBAGUZI wa KIJAMII maana KIMARA sio eneo la kabila fulani kwa kifupi yule mzee MUNGU kamchukua mapema ili kuinusuru nchi, kwa sababu alikua anapanda sumu mbaya sana miongoni mwa jamii ya watanzania

Alikua anajenga misingi ya CHUKI, UHASAMA, VISASI, NONGWA, UBAGUZI, UPENDELEO, UBINAFSI, UDINI, DHARAU, UBADHIRIFU, UONEVU NA UMUNGU MTU
Umemaliza!
 
Mkuu hili ni tatizo , matokeo yake yameanza kuonekana sasa. Huu umoja wa ''CCM'' uta ambukiza nchi nzima

Wakati wa Nyerere na waliotangulia ilikuwa ni vigumu kuona ukabila kama mfumo

Mkuu Mkandara aelewe kuwa ili ukabila uwe 'systemic' lazima ujengewe mazingira, upaliliwe na ukue.

Hapa ndipo Mwendazake alipolitia Taifa katika tatizo. Amejenga mazingira ya ukabila na sasa yanashamiri

Kiongozi wa nchi anaposimama na kusema '' watu wa eneo fulani watusubiri' tayari anajenga ukabila mioyoni mwa wasioelewa. Halafu anaporudi ofisini na kuteua kwa mfano ule ule anashadidia ukabila.
Tatizo ni waliofaidika na ukabila walikuwa busy looking away madudu ya Magufuli.
 
Umefika shule za juu kidogo?

Kwenye mijadala wenzetu husema he who alleges must prove, anaetoa tuhuma ndie anatakiwa kuthibitisha.

Chadema wametoa tuhuma kua Magufuli alikua mkabila/mwenye kupendelea ndugu zake. Sasa watuthibitishie kwa ushahidi usiopingika kama vile nilivyoshauri kwenye mada.

Hata pale aliposema watu wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao kwani hao ni wapiga kura wake?
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Kwanza watu wengi hawajui au wajitia kutokujua, Magufuli ni msubi na sio Msukuma, kuteua wasukuma ilikuwa ni jambo la wazi kwani ni wengi , hivyo ukitumia hesabu za probability , ni kwamba nafasi za kuchagua "msukuma" ni kubwa, kama vile JK, alikuwa na watu wa Kabila hiyo, mama hataacha kuwaweka " wasukuma"
 
Wachaga na chama lao chadema hawafai wale, nashangaa misukuma mingine iko kule eti inajenga chama 🤣🤣🤣 wasukuma acheni ushamba tokeni huko chadema bora mkajenge chama cha Hashim Rungwe acheni chadema ipigiwe kura na wachaga tu tuone mwisho wake *****
 
Kila siku yamekomaa kanda ya ziwa kanda ya ziwa.Kanda ya ziwa tu ikisimama na kusimamisha mgombea urais hata awe kinyago kama kila mwana kanda ya ziwa atampigia kura huyo kinyago basi kwa mara ya kwanza kinyago kitakuwa Rais, acheni upumbavu hii dhana ya ukabila acha isambae hadi vijijini muone mafala nyie
 
Mi mwenyewe mkerewe nitawatetea Sana Wasukuma, huko mbeleni Wasukuma watatawala sana utukane mtandaoni hadi unye haitasaidia
 
Wachaga na chama lao chadema hawafai wale, nashangaa misukuma mingine iko kule eti inajenga chama 🤣🤣🤣 wasukuma acheni ushamba tokeni huko chadema bora mkajenge chama cha Hashim Rungwe acheni chadema ipigiwe kura na wachaga tu tuone mwisho wake *****
Intarahamwe style!
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
The presence of Suguma gang in the state machineries justifies all allegations. Give us in % the % of dev projects in the lake regions vs other areas. Substantiate the justifications of the numerous ethnic statements of the diseased ama sivyo kaa na mavi yako nyumbani.
 
Na hilo ndilo tatizo kubwa la wasukuma UKABILA ndio maana namshukuru sana mungu kwa kutuondolea mkabila mkuu

Anaye ongelewa hapa ni magufuli dhidi ya tabia zake chafu alizo anza kupandikiza tanzania na bahati nzuri mungu kamuwahi sasa hayo ya kanda ya ziwa sijuu kukubalika yametokea wapi? Kwani hapa inasemwa kanda ya ziwa au magufuli?
Kanda ya ziwa. Tunasubiri 2025 CHADEMA mje kanda ya ziwa tuwanyooshe
 
Ni rahisi sana kuelewa machungu ya viongozi wa Chadema na wafuasi wake kufuatia kushindwa Uchaguzi wa mwaka 2015.

Laukama sii Ukanda wa Ziwa kumpa kura nyingi Magufuli na Chama cha CCM, Magufuli asingeshinda Uchaguzi huo. Ukanda wa ziwa ndio ulomaliza ubishi wote Uchaguzi wa 2015 na Chadema hawakutegemea kabisa.

Kwa hiyo Chadema wana hasira sana na Ukanda wa ziwa na sijui nani alowambia Wasukuma ndio wenyeji, ndio kabila pekee au basi tu wamechukulia yeye Msukuma basi walobakia woote huko ni Wasukuma.

Na hata Ukitazama Asili ya wakazi wa Chato haikuwa Wasukuma bali wenyeji wake waliitwa Wazinza! Haawana Ukaribu kama vile Wapare na Wachagga! Leo hii hatuwezi kusema wakazi wa Chato ni kabila fulani au gani maanake yapo Makabila yote mchanganyiko. Historia Chato haikuwa Mkoa wa Mwanza wala Shinyanga bali ilikuwa kijiji wilaya ya Biharamulo, Mkoa wa Ziwa Mgharibi (Kagera).

Kama Hayati angewapendelea kweli Wasukuma nadhani angekuwa na wakati mgumu sana maanake Wasukuma ni wenyeji wa Mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Tabora na Simiyu.
Wazinza siyo wenyeji wa Chato acha kudanganya. Wazinza wanapatikana Sengerema na Geita. Wenyeji wa asili wa Chato ni wasubi lakini kuanzia miaka ya hamsini katikati wasukuma walianza kuhamia maeneo hayo kwa wingi kwa ajili kilimo cha pamba, baadaye wasubi kuanza kuondoka maeneo hayo na kuwaacha wasukuma wakitamalaki maeneo hayo. Hata hiyo Biharamulo unayoitaja sasa hivi wasukuma ndio kabila kuu na wasubi wamebaki wachache sana. Hivyo Chato kwwa sasa ni usukumani tu.
 
Wasukuma pamoja na wingi wao hawana effect kwani wengi ni wajinga na primitive sana hata aliyekufa juzi alifanya ujinga wa ajabu hata katika wadhifa wake mkubwa bado alikuwa mjinga mno. Angalia alivyozikwa haikuwezekana kumshusha kaburini hivi hivi live mpaka azikwe usiku na matunguri.
Kama wasukuma ni wajinga wewe ndio mjinga zaidi
 
Mnahangaika na CHADEMA ambayo ilishajifia, nani awape uongozi wa nchi hii mijitu mibaguzi na minywa benge ? Mtasubiri sana na Ikulu mtaisikia tu. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom