Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Mwenye ukweli ndiye huyo Mbowe kwanini humuulizi unachafua page bure humu?
 
Wazinza siyo wenyeji wa Chato acha kudanganya. Wazinza wanapatikana Sengerema na Geita. Wenyeji wa asili wa Chato ni wasubi lakini kuanzia miaka ya hamsini katikati wasukuma walianza kuhamia maeneo hayo kwa wingi kwa ajili kilimo cha pamba, baadaye wasubi kuanza kuondoka maeneo hayo na kuwaacha wasukuma wakitamalaki maeneo hayo. Hata hiyo Biharamulo unayoitaja sasa hivi wasukuma ndio kabila kuu na wasubi wamebaki wachache sana. Hivyo Chato kwwa sasa ni u
Wazinza siyo wenyeji wa Chato acha kudanganya. Wazinza wanapatikana Sengerema na Geita. Wenyeji wa asili wa Chato ni wasubi lakini kuanzia miaka ya hamsini katikati wasukuma walianza kuhamia maeneo hayo kwa wingi kwa ajili kilimo cha pamba, baadaye wasubi kuanza kuondoka maeneo hayo na kuwaacha wasukuma
Wazinza siyo wenyeji wa Chato acha kudanganya. Wazinza wanapatikana Sengerema na Geita. Wenyeji wa asili wa Chato ni wasubi lakini kuanzia miaka ya hamsini katikati wasukuma walianza kuhamia maeneo hayo kwa wingi kwa ajili kilimo cha pamba, baadaye wasubi kuanza kuondoka maeneo hayo na kuwaacha wasukuma wakitamalaki maeneo hayo. Hata hiyo Biharamulo unayoitaja sasa hivi wasukuma ndio kabila kuu na wasubi wamebaki wachache sana. Hivyo Chato kwwa sasa ni usukumani tu.
Daaah wakati mwingine tuwe tunabishana kwa sababu maanake unalazimisha vitu ili mradi tu kutaki kuamini njenya kile.unachoamini. Kwanza Wasubi asili yao ni wakazi wa Biharamulo na sii Wilaya nzima kama unavyochukuliwa.

Na Wazinza waliishi kando ya ziwa vijiji vya Chato kuelekea Geita ambayo iko mbali kabisa na ziwa. Kwa hiyo tuweke vitu sawa hapa kuwa kuna Chato mji na Chato wilaya. Kuna Geita Mji na Geita Mkoa. Huu mkoa wa Geita umechukua sehemu za Mwanza, Shinyanga na Kagera hivyo Wasukuma wapo kutokana na kiografia ya mikoa ilounda Geita.

Na Hata Mwanza hutasema ni Mkoa wa Wasukuma maana kumejaa watu wa Makabila tofauti ktk maeneo madogo sana wengine wahamiaji japokuwa Kabila kubwa linajulikana. Aidha chukulia Mara inajulikana kama Mkoa wa Wajita lkn kuna makabila mengi inategemea na eneo tunalozungumzia.

Chato sii ya Wasukuma, hata wao ni wahamiaji, Wasubi na Wazinza ni majirani wote waliishi Wilaya ya Biharamulo katika.maeneo tofauti. Hizi habari za Wasukuma gang sijui Sukumaland ni Siasa za Ukanda ziloanzishwa na Chadema na hatari yake tunaiona sasa hivi.

Na pengine hii ndio hofu alokuwa nayo Nyerere juu ya Wakaskazini maanake kizazi hiki wamerithi fikra za wazee wao kuhofia yasokuwepo. Kuna Usemi usemao - Who ever steal you past control your future. Kuna watu wanahofia kupoteza Ukabila wao maana Tanzania hatuna Ukabila labda kuna Prejudice!
 
Kampeni za Magufuli alisema wazi yeye sii Mwanasiasa, Maendeleo hayana Chama, hayana Kabila wala dini.[/QUOTE]

Na wewe unaamini kabisa kuwa JPM alimaanisha hayo maneno? Kwa nini wakati wa kampeni alikuwa anasema wasipomchagua mtu wa CCM hatajenga barabara katika hilo jimbo? Hatapeleka maji na huduma nyingine kama afya etc.

Kwa nini alibomoa nyumba Kimara na akazuia nyumba zisibomolewe Mwanza kwamba hao ni wapiga kura wake??

Kwa nini alipendelea kujenga miundombinu mbalimbali kijijini kwake Chato?? Kulikuwa na umuhimu wa kujenga uwanja wa ndege Chato? Hospital kubwa kama ile? Pamoja na vitu vingine vyote alivyojenga kwa upendeleo. Sidhani kama kuna ndege yoyote imetua kwenye huo uwanja baada ya mazishi yake.
 
Sio asilimia 15 tu,wasukuma mpk sasa wako milioni 21 kwa watu milioni 60,utawakwepaje hao kina ngosha?
Sensa ya lini hii? Usije ukawa umeangalia idadi ya watu kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa Nyanza ukadhani WOTE ni wasukuma. Mfano Mkoa wa Mwanza kuna watu wengi tu kutoka makabila mengine
 
Kanda ya ziwa. Tunasubiri 2025 CHADEMA mje kanda ya ziwa tuwanyooshe
Kanda ya ziwa mmejaa ushamba na ulimbukeni ndio maana msukuma mmoja alipo pewa nchi akadhani yeye yupo juu ya kila kitu lakini mungu akamwambia HAPANA CORONA IPO JUU YAKO na akamnyamazisha hadi sasa.
 
Sasa mkuu kama hata wabunge hamkufika 1/3 mngewezaje Kushinda Urais? Unajua vitu vingine ni common sense tu.

Yaani mtu analalamika kuibiwa Urais wakati hata Wabunge 100 hana! Utasikia kura zimeibiwa! Onyesha Ushahidi oooh Halima Mdee alizikamata. Okay ziko wapi? Aaaah mtuhumiwa alikimbia tukazichoma moto! Really?. Leo hii huyo Halima Mdee hamumtaki tena sio Mwanachama! Na kama kweli waliibiwa Ushindi wangeanza na kurudisha Wabunge wao.
Mkuu kuzungumzia uchaguzi wa 2020 kwa mtu kama wewe ni kujishushia heshima uliyonayo tu.

Ule haukuwa uchaguzi ulikuwa ni ushenzi tu.

Unawezaje kusema fulani kamshinda fulani wakati huyo fulani katangazwa bila kura kuhesabiwa?

Umesema tutumie common sense hivi kwa common sense yako tu uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki ?
 
Mkuu ulitazama matokeo au unazungumza tu kufurahisha baraza?! Lissu tena heee! hivi bado anazungumziwa humu?
Unless kama unazungumza kishabiki. Magufuli hakuwa na uwezo wa kumshinda Lissu kama uwanja ungekuwa sawa.

Huko Chato kwenyewe alilazimika kukodi watu wa kumpiga mawe Lissu.

Alifunga vyombo vyote vya habari visimtangaze Lissu lakini aliteswa mpaka kuamua kupora uchaguzi ingekuwaje kama Lissu angepata airtime walau theluthi ya airtime aliyopata Magufuli ?
 
Bw. Gambino ukiachili mbali wewe mwenyewe umekuja na hoja ya mfano wa takwimu kwa kupinga tuhuma dhidi MZANDIKI marehem MAGUFULI bila ya kutewekea takwimu halisi ili kuvunja hoja ya tuhuma hizo hivyo nadhani unazidi kuukoleza moto wa tuhuma hizo

KIMARA: Walivunjiwa Nyumba zao kwa sababu walijenga kiholela na hakuna fidia kwa sababu tunasimamia sheria.

MWANZA: Walinusurika kuvunjiwa kwa sababu MAGUFULI alizuia kwa madai kuwa wale ni wapiga kura wake.

Naomba kukuuliza swali, MAGUFULI aliwezaje kuwatofautisha watu wa KIMARA na watu wa MWANZA kwa kura walizompigia???

MAGUFULI hakuwa tu MKABILA bali pia alikua MBAGUZI wa KIJAMII maana KIMARA sio eneo la kabila fulani kwa kifupi yule mzee MUNGU kamchukua mapema ili kuinusuru nchi, kwa sababu alikua anapanda sumu mbaya sana miongoni mwa jamii ya watanzania

Alikua anajenga misingi ya CHUKI, UHASAMA, VISASI, NONGWA, UBAGUZI, UPENDELEO, UBINAFSI, UDINI, DHARAU, UBADHIRIFU, UONEVU NA UMUNGU MTU
Na hakuwa na utu
 
Daaah wakati mwingine tuwe tunabishana kwa sababu maanake unalazimisha vitu ili mradi tu kutaki kuamini njenya kile.unachoamini. Kwanza Wasubi asili yao ni wakazi wa Biharamulo na sii Wilaya nzima kama unavyochukuliwa.

Na Wazinza waliishi kando ya ziwa vijiji vya Chato kuelekea Geita ambayo iko mbali kabisa na ziwa. Kwa hiyo tuweke vitu sawa hapa kuwa kuna Chato mji na Chato wilaya. Kuna Geita Mji na Geita Mkoa. Huu mkoa wa Geita umechukua sehemu za Mwanza, Shinyanga na Kagera hivyo Wasukuma wapo kutokana na kiografia ya mikoa ilounda Geita.

Na Hata Mwanza hutasema ni Mkoa wa Wasukuma maana kumejaa watu wa Makabila tofauti ktk maeneo madogo sana wengine wahamiaji japokuwa Kabila kubwa linajulikana. Aidha chukulia Mara inajulikana kama Mkoa wa Wajita lkn kuna makabila mengi inategemea na eneo tunalozungumzia.

Chato sii ya Wasukuma, hata wao ni wahamiaji, Wasubi na Wazinza ni majirani wote waliishi Wilaya ya Biharamulo katika.maeneo tofauti. Hizi habari za Wasukuma gang sijui Sukumaland ni Siasa za Ukanda ziloanzishwa na Chadema na hatari yake tunaiona sasa hivi.

Na pengine hii ndio hofu alokuwa nayo Nyerere juu ya Wakaskazini maanake kizazi hiki wamerithi fikra za wazee wao kuhofia yasokuwepo. Kuna Usemi usemao - Who ever steal you past control your future. Kuna watu wanahofia kupoteza Ukabila wao maana Tanzania hatuna Ukabila labda kuna Prejudice!
Nadhani uko sahihi ila bahati mbaya huelewi historia ya makabila haya ya kanda ya ziwa. Wakati wa ukoloni eneo ambalo lilijulikana kama uzinza ni yale ambayo yalikuwa ni utemi wa Karumo, Buchosa na Busambilo ambayo yalikuwa katika Wilaya ya Geita kabla ya Sengerema kuwa Wilaya hapo mwaka 1975. Ndio maana nikasema wazinza si wenyeji wa asili wa Chato kama unavyotaka kulazimisha. Hiyo Chato ilikuwa ni katika utemi ulioitwa Usubi ambayo ilikuwa wilaya yote ya Biharamulo. Na mpaka wa Biharamulo na Geita ni hapo kwenye mji mdogo wa Katoro ambayo iko Geita na Buselesele (usubi) ambayo iko Biharamulo kabla ya kuzaliwa wilaya ya Chato mwaka mwaka 2002. Nimekwambia Wasukuma na Wazinza walianza kuhamia Usubi(Chato) mwanzoni mwa miaka ya hamsini kwa ajili ya fursa ya kilimo cha pamba na kuanza kuwameza wasubi ambao ni wachache, pamoja na wasukuma kuhamia usubi hata wajita nao wengi walianza kuhamia mwambao huo wa Chato lakini wao hasa ni kwa ajili ya uvuvi. Pamoja na hayo hata huko wilaya ya Biharamulo ya sasa wasukuma wamejaa na kuwafanya wenyeji wa asili (wasubi) kuwa kama visiwa vidogo kwenye bahari kuu (wasukuma). Kwa hiyo narudia kusema kwamba wenyeji wa asili wa Chato siyo wazinza bali wasubi.
 
Na wewe iko siku utakufa.
Kanda ya ziwa mmejaa ushamba na ulimbukeni ndio maana msukuma mmoja alipo pewa nchi akadhani yeye yupo juu ya kila kitu lakini mungu akamwambia HAPANA CORONA IPO JUU YAKO na akamnyamazisha hadi sasa.
 
Mnamkosea sana mwendazake! Kutwa kucha mnalia lia, au mnapinga ile sala inayosema raha ya milele umpe ee Bwana?! Mnamsumbua, mwacheni apumzike!
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Hivi aliyeanzisha uzushi kuwa CDM ni chama cha kanda ya kaskazini, CUF cha waislamu alipata kukemewa? Aliyesema vyama tofauti na CCM vikishika dola kutakuwa na vita kama Rwanda, Libya au Iraq alikanywa? Je...? Je....?
Ikiwa yale watu waliaminishwa hili linawakera nini au ni kweli?
 
Hivi aliyeanzisha uzushi kuwa CDM ni chama cha kanda ya kaskazini, CUF cha waislamu alipata kukemewa? Aliyesema vyama tofauti na CCM vikishika dola kutakuwa na vita kama Rwanda, Libya au Iraq alikanywa? Je...? Je....?
Ikiwa yale watu waliaminishwa hili linawakera nini au ni kweli?
Wakishika dola hao itakuwa hivyo.
 
Kuvunjia nyumba watu walioko Dar,kisha Mwanza akaamuru wasivunjiwe kwa kuwa mdio waliompa kura hiyo tu ni upendeleo wa kiwango cha SGR.
Ni kama ilivyokuwa utaifishaji majumba na viwanda wakati wa Azimio la Arusha au Uhujumu uchumi wa miaka ya themanini achilia mbali yaliyoendelea 2015-2020 yanayofanana na yale ya nyuma...
UNAFIKI MTUPU..
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Yani akabomolea watu wa kimara bila fidia Ila alipofika mwanza kwenye ubomoaji kupisha ujenzi/upanuzi wa barabara ya furahisha pamoja na upanuzi wa airport akasema msiwasumbue hao no wapiga kura wangu. Sijui kama unaona hii double standard???
 
Hivi aliyeanzisha uzushi kuwa CDM ni chama cha kanda ya kaskazini, CUF cha waislamu alipata kukemewa? Aliyesema vyama tofauti na CCM vikishika dola kutakuwa na vita kama Rwanda, Libya au Iraq alikanywa? Je...? Je....?
Ikiwa yale watu waliaminishwa hili linawakera nini au ni kweli?

..pia kulikuwa na UDP ambayo mwenyekiti wake ni John Cheyo " bwana mapesa " chama hicho kilikuwa kinapigwa vita ya kikabila kuwa ni chama cha Wasukuma.

..hizi huwa ni PROPAGANDA za CCM dhidi ya chama chochote kinachoonekana kuwa ni tishio. Lazima chama hicho kichafuliwe kwa kashfa za ukabila au udini.

..kwa hapa Tanzania hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuanzisha vita. Wenye uwezo huo ni CCM kwani wao ndio wenye silaha na wameshaonyesha mfano wa wanachoweza kufanya kupitia kundi la " WATU WASIOJULIKANA."

Cc Mkandara
 
Hivi kuna watu huwa wanamsikiliza huyu mfanya biashara ya madanguro? Eti wao huita night clubs! Huyu mwenyekiti wa chadema ndo biashara zake!!
 
Back
Top Bottom