The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Mimi hoja zangu Mbona hujajibu upo kimya mpaka sasa?Ingefaa ungesema hoja fulani ni nyepesi kwa sababu hii na hii.pia ungesema hoja hii ni nzito na sababu ni hii na hii. Hoja hujibiwa kwa hoja.