Kwanini China na India huwa hawashiriki kombe la dunia?

Kwanini Tanzania pia haishiriki kombe la Dunia [emoji276]mtoa mada acha bangi
Kumbukumbu zinaniambia mwalimu Nyerere alizuia madini na gas kuchimbwa ili vizazi vya baadae baada ya kupata elimu mujaraab basi wanufaike na rasilimali hizo hivohivo na kwenye soka alikataza tusifike huko kombe la dunia mpaka vizazi vya baadae vijitambue ili kunufaika na mashindano hayo😂😂😂
 
Kung-fu mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kuokoa ndege alisema mpaka vije vizazi vya baadae wajifunze
 
Duh... how informative
are you?
 
Hawajafuzu Waite waje kwenye Dauda bonanza
 
Wako busy na kazi...wanapeleka vyombo mwezini na kurusha satelaiti huku wakipiga mzigo

Mpira ni by the way...huwa hawavuki qualifiers
 
Bora mzee wa watu angejilia tu mali za nchi kuliko alivyoangaikia hiki kizazi kisichojitambua
 
Nimecheka kama chizi, jamaa anaenda mpaka China wakati kuna mfano hapa hapa nchini kwake. Au hata angeuliza mbona East Africa Countries huwa hatushiriki!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapna siyo kwamb mtoa mada hajui sababu za Tanzania na na east Africa kutoshiriki anajuwa vzr yey anashangaa kutowaona mataifa hayo makubwa kwenye soka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…