Kwanini China na India huwa hawashiriki kombe la dunia?

India mchezo pendwa kwao ni cricket na wanaujua tofauti na mpira wa miguu.

China wamebobea kwenye riadha na kuhusu soka wanajitahidi kuwekeza na ndani ya miaka 20 ijayo watakuwa wapo vizuri.
 
China wana mchezo wao wa Kong Fu na Wahindi wana mchezo wa Kabadi, hii inawatosha.
 
Sijajua kuhusu india ila China alipigwa ban mwaka 2002.
Wachina wanafanana mno ilikuwa wanabadilishana halftime inaingia timu mpya kabisa.
Waliposhtukiwa wakapigwa ban
 
Sijajua kuhusu india ila China alipigwa ban mwaka 2002.
Wachina wanafanana mno ilikuwa wanabadilishana halftime inaingia timu mpya kabisa.
Waliposhtukiwa wakapigwa ban

Hii kitu ni kweli au fix zenu [emoji23][emoji23][emoji23] sasa jez si zina namba jamani
 
china ilifungiwa na fifa iliposhiriki mara ya mwisho kwa kuzidisha wachezaji uwanjani kutokana na mfanano wao! na kubadilishana bila mwamuz kujua na makosa mengine
Hii ni chai bhanaaaa
 
china ilifungiwa na fifa iliposhiriki mara ya mwisho kwa kuzidisha wachezaji uwanjani kutokana na mfanano wao! na kubadilishana bila mwamuz kujua na makosa mengine

Sio kuzidisha walibadili team nzima na kuingiza kikosi kingine halftime [emoji28]
 
Wako kwenye hatua za kiuwekezaji kwenye soka baada ya kumaliza maeneo mengine ,baada ya vifungo na fifa
 
Wahindi wako bize wanapiga Code ,wachina wako bize kujenga taifa lao,
India ni world's best cricketers
China ni kitovu Cha kuchapa mkono ( karate)
Zote hizo ni michezo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…